BlackBerry
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 1,839
- 956
Muoe tu huyo msichana, kaanze kumsomesha hata veta, inaonekana unampenda sana, ila unaona tu aibu kwamba ni HG
kwani hawa wafanyakazi wa ndani wanatofauti gani na wadada wa ofisini kama siye?mbona tukienda ulaya na sie huwa tunakuwa watumishi tu wa ndani?au inakuwaje, hamuoni mifano hata kwenye tamthilia, wakaka wengi tu wanaoa watumishi wa ndani, aaaarghhh,, wasichana sijui watadhalilishwa mpaka lini
kwani hawa wafanyakazi wa ndani wanatofauti gani na wadada wa ofisini kama siye?mbona tukienda ulaya na sie huwa tunakuwa watumishi tu wa ndani?au inakuwaje, hamuoni mifano hata kwenye tamthilia, wakaka wengi tu wanaoa watumishi wa ndani, aaaarghhh,, wasichana sijui watadhalilishwa mpaka lini