Deog
JF-Expert Member
- Jan 14, 2014
- 235
- 63
118 kms from Geita Stand.Wewe acha uongo geita to chato km 200 umezitoa wapi?
118 kms from Geita Stand.Wewe acha uongo geita to chato km 200 umezitoa wapi?
Ulilala Geita Park?
Kati yake na wewe muongo ni wewe. Toa basi ukweli wako sivyo wewe ni muongo zaidiWewe acha uongo geita to chato km 200 umezitoa wapi?
Kuna nini?Hamia katoro.
Lingine lilete wewe mkuuNi hilo tu au kuna jingine??
Geita ni mkoa, upo katikati ya hiyo ulioitaja!Geita iko mkoa upi kati ya Mwanza na Bukoba
Hayo maji machafu yanapita katikati ya makazi ya watu na yanatuama mbele kidogo mkuu.sasa wewe nduguyangu umeenda kuchagua sehemu chafu tu, ambazo zipo kila mahali hapa duniani,mpaka majumbani mwa watu umefika ukapiga picha, mamlaka ifike mpaka majumbani kweli?!? mbona hujapiga picha DESIRE,LENNY,n.k??
hilo sina shida nalo, shida yangu ni picha uliyoiunda kwamba GEITA ni pachafu sana kwa sababu hukuweka na picha nzuri za mji wa geita tukafanya ulinganifu. yaani hata mzunguko pale hukuuona kweli?!? Mzunguko wa kwenda mgodini GGM,Bomani kwa DC,RC na pia kwenda Chato mpaka Kampala!!!. yaani hata ARUSHA ukitafuta sehemu chafu kuzidi hizo za geita zipo kwa wingi hata NEWYORK,PARIS,TOKYO zipo tu!!Hayo maji machafu yanapita katikati ya makazi ya watu na yanatuama mbele kidogo mkuu.
Malengo hayakua kuonesha mji bali ni kuwaamsha wanaohusika na usimamizi wa mazingira kwenye mji huo.hilo s
hilo sina shida nalo, shida yangu ni picha uliyoiunda kwamba GEITA ni pachafu sana kwa sababu hukuweka na picha nzuri za mji wa geita tukafanya ulinganifu. yaani hata mzunguko pale hukuuona kweli?!? Mzunguko wa kwenda mgodini GGM,Bomani kwa DC,RC na pia kwenda Chato mpaka Kampala!!!. yaani hata ARUSHA ukitafuta sehemu chafu kuzidi hizo za geita zipo kwa wingi hata NEWYORK,PARIS,TOKYO zipo tu!!
Aibu hii GT kutojua kama Geita ni MkoaGeita iko mkoa upi kati ya Mwanza na Bukoba
Unanilazimisha kujibu au nimemuuliza hizo km kazitoa wapi wewe naye unawahiKati yake na wewe muongo ni wewe. Toa basi ukweli wako sivyo wewe ni muongo zaidi