ho chi minh
JF-Expert Member
- Sep 27, 2016
- 32,904
- 163,076
Habari wana jamii forum,
Nimebahatika kufika Geita Mjini na kuona mjini kwa kiasi unakuwa ingawa changamoto ni nyingi.
Tatizo nililokutana nalo ni mamlaka muhimu kuendelea kukaa ofisini bila kutatua kero nyingi za wananchi.
Lawama zangu zaidi ni kwa ofisi ya mazingira na idara ya afya.
Nimeona uchafu toka katika machinjio yaliyo mjini katikati.
Maji machafu yaliyochanganyikana na damu za mifugo wachinjwao hapo yanapita katikati maeneo yanayokaliwa na binadamu,
Ni hatari sana.
Nimebahatika kufika Geita Mjini na kuona mjini kwa kiasi unakuwa ingawa changamoto ni nyingi.
Tatizo nililokutana nalo ni mamlaka muhimu kuendelea kukaa ofisini bila kutatua kero nyingi za wananchi.
Lawama zangu zaidi ni kwa ofisi ya mazingira na idara ya afya.
Nimeona uchafu toka katika machinjio yaliyo mjini katikati.
Maji machafu yaliyochanganyikana na damu za mifugo wachinjwao hapo yanapita katikati maeneo yanayokaliwa na binadamu,
Ni hatari sana.