Niliyoyakuta Keko

Dah! Naona hao jamaa wa Mbengo zetafongoka hapo pembeni wanakaribia kupasuka aisee!! Ni fungu ka 10 hilo bila shaka!!

Siku zote hata mimi falsafa yangu ni kusaidia wenye uhitaji, badala ya kwenda kuwafurahisha viongozi wa dini.
 
Stori zisizoishia na happy ending uwe unakaa nazo tuu...

Nilidhani labda jamaa alimkunja ukiwa unaona live, na kavideo ungetutumia[emoji23]
Au ningesema itaendelea... [emoji23]
 
Hii hekima naiiba kabisa hii, nitawagawia na wajukuu zangu [emoji120]
 

Mimi nikiwa mkubwa nataka niuze memory cards kama mleta mada
 
Unakuta mtu ananunua anashiriki baraka za ujenzi kwa laki tano alafu hajawai toa hata senti kwa omba omba au hata kumlipia nauli mwanafunzi[emoji28] na anavimba yeye mtakatifu
Pepo/mbingu/akhera ni ya wachache mno, tulio wengi kwetu tunakujua [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…