Niliyoyakuta Keko

Hueleweki...

Kwahiyo kushibisha tumbo la mtu (kumpatia pesa ya chakula) hujamsaidia hapo?
Umeelewa ila unakaza tu shingo na hii ni shida Watanzania tunayo hatusomi kuelewa tunasoma kubishana.

Nimesema ”haimsaidii zaidi ya kushibisha tumbo lake” kwamba baada ya kuila na kuisha haipo tena kwenye mikono yake ila ukimpa million akaenda kununua shamba utakuwa msaada endelevu,wapo watu kumpa mtu hata Tsh 500/=  yao wanaona kama wanampa million.

NB:Hii ni kwa mujibu wa uelewa wangu binadamu tumetofautiana ufahamu!!!
 
Kashibishe wenye njaa, hapo Mungu wa kweli atakuongezea. Achana kushibisha matumbo ya watu, mwishowe yatapasuka, angalia walivyotuna kwenye picha. Eti mpe Mungu sehemu ya kumi.
 
Siku ile yule mdada kumbe alipewa noti bandia kwani alirudi na kuanza kuuliza kama kuna mtu anamfahamu.
Acha bhana, kwa mwonekano wa jamaa sidhani kama anaweza kufanya matendo ya uchungu kama hayo [emoji3]
 
Nikajua itaishia amemnyandua kimasihara. [emoji2][emoji2][emoji2]
[emoji3] Kuna muda wanawake wanasongwa na maisha hata ile hamu ya kuwanyadua unakosa, unamwona kama dada au mama yako.
 
Stori zisizoishia na happy ending uwe unakaa nazo tuu...

Nilidhani labda jamaa alimkunja ukiwa unaona live, na kavideo ungetutumia😂
 

usiache kuchukua bidhaa anayouza,hii kisaikolojia itamjenga zaidi.

mfano umekuta dogo wa kike anauza mboga kachoka kachafuka na zimeshanyauka kwa kupigwa jua.

wewe toa ten au tano agiza fungu 2 mwachie chenji sepa kawape hata ng'ombe wako nyumbani au kuku,hii itamjenga kwamba hata msaada wenye heshima huambatana na masharti yenye utu ndani yake na hasa hakuna kitu cha bure duniani.
 
Unakuta mtu ananunua anashiriki baraka za ujenzi kwa laki tano alafu hajawai toa hata senti kwa omba omba au hata kumlipia nauli mwanafunzi😅 na anavimba yeye mtakatifu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…