Kazwala mkuu
JF-Expert Member
- Jul 2, 2016
- 1,034
- 2,250
Salaam,
Mahusiano hayana darasa wala uzee na kila siku hujitokeza mapya hivyo si vibaya kubadilishana mawazo hata kwa vitu vidogo vidogo ili kueneza upendo kwa wenza wetu.
Jana nilikuwa na muda mzuri sana na mke wangu na akanifanya nijione nimezaliwa upya haswa kwa uzuri wake na jinsi anavyojua kuutumia kunako mambo yetu, naam ulikuwa ni muda maridhawa sana ulionifanya nimshukuru Mungu kwa kunipa mke huyu kwani hachoshi na sijutii kumuoa kabisa.
Sasa ndugu zangu, kumbe jana nilipokuwa kiunoni mubashara nilikuwa nilikuwa nikimwambia kuwa leo nitamnunulia au kumfanyia hiki au kile.
Sasa kumekucha yupo hapa pembeni yangu ananikumbushia ili nimpe aende madukani akanunue niliyomuahidi na nikicheki orodha ni ndefu wakuu.
Je, nipasue pochi nimpe au nitengue kauli kwa kusema niliahidi wakati wa shinikizo, wakati wa kutojitambua? Nikitengua itakubalika kwa sheria za kitanda?
Nawasilisha
Mahusiano hayana darasa wala uzee na kila siku hujitokeza mapya hivyo si vibaya kubadilishana mawazo hata kwa vitu vidogo vidogo ili kueneza upendo kwa wenza wetu.
Jana nilikuwa na muda mzuri sana na mke wangu na akanifanya nijione nimezaliwa upya haswa kwa uzuri wake na jinsi anavyojua kuutumia kunako mambo yetu, naam ulikuwa ni muda maridhawa sana ulionifanya nimshukuru Mungu kwa kunipa mke huyu kwani hachoshi na sijutii kumuoa kabisa.
Sasa ndugu zangu, kumbe jana nilipokuwa kiunoni mubashara nilikuwa nilikuwa nikimwambia kuwa leo nitamnunulia au kumfanyia hiki au kile.
Sasa kumekucha yupo hapa pembeni yangu ananikumbushia ili nimpe aende madukani akanunue niliyomuahidi na nikicheki orodha ni ndefu wakuu.
Je, nipasue pochi nimpe au nitengue kauli kwa kusema niliahidi wakati wa shinikizo, wakati wa kutojitambua? Nikitengua itakubalika kwa sheria za kitanda?
Nawasilisha