Vikao vya Harusi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2012
- 512
- 140
Miaka kadhaa nyuma, niliwahi fikiria Tanzania hakuna upinzani wenye nia ya dhati ya kuwakomboa wanachi toka mikononi mwa CCM, nadhani sasa yanatimia, mwaka huu CCM kwa mara ya kwanza itasimamisha wagombea wawili katika kinyang'anyiro cha urais, na hili halipingiki.
Hakuna asiyejua kuwa lowassa ni pandikizi la CCM ndani ya UKAWA, na yeye alijua kuwa hatapewa nafasi ya kuiwakilisha CCM mwaka huu, ila alipewa kazi ya ziada ya kuumaliza upinzani.
Lleo hii UKAWA wanamsimamisha mtu ambae kwa macho ya kibinadamu ni mroho wa madaraka, na kwa macho ya kiroho ametumwa kwenye kazi maalum na watu maalum, mwisho wa siku vijana wa UKAWA wamekuwa kama shukrani ya ASANTE.
Ukipatwa na msiba ukapewa pole unajibu ASANTE, ukipata mtoto ukapewa hongera unajibu ASANTE, hii inatokana na kuwatukuza akina MBOWE kama Miungu watu, kila wanalosema inaonekana ni sheria na kila mtu anapaswa kuliheshimu.
Leo hii akina Yericko wanatumia Nguvu kubwa kupotosha umma kwakuwa wana legacy ya kufanya hivyo. WITO wangu: ni mda wa kuishi ndoto zetu sio kuishi ndoto za viongozi wetu.
Peoples' power the healing therapy
Hakuna asiyejua kuwa lowassa ni pandikizi la CCM ndani ya UKAWA, na yeye alijua kuwa hatapewa nafasi ya kuiwakilisha CCM mwaka huu, ila alipewa kazi ya ziada ya kuumaliza upinzani.
Lleo hii UKAWA wanamsimamisha mtu ambae kwa macho ya kibinadamu ni mroho wa madaraka, na kwa macho ya kiroho ametumwa kwenye kazi maalum na watu maalum, mwisho wa siku vijana wa UKAWA wamekuwa kama shukrani ya ASANTE.
Ukipatwa na msiba ukapewa pole unajibu ASANTE, ukipata mtoto ukapewa hongera unajibu ASANTE, hii inatokana na kuwatukuza akina MBOWE kama Miungu watu, kila wanalosema inaonekana ni sheria na kila mtu anapaswa kuliheshimu.
Leo hii akina Yericko wanatumia Nguvu kubwa kupotosha umma kwakuwa wana legacy ya kufanya hivyo. WITO wangu: ni mda wa kuishi ndoto zetu sio kuishi ndoto za viongozi wetu.
Peoples' power the healing therapy