Nilivyonusurika kifo Beit bridge

Mkuu nimeishi Retreat Capetown kwa miaka mitano tena ktk hizo flat.Upo sahihi kabisa.

Je umewezaje kutulia na kukomaa na life la Bongo?Nina miezi sita toka nirejee lakini bado Sijasoma ramani licha ya kwamba nina kimtaji changu ila naona kila nikiangalia fursa naona giza.
 
Rudi zako SA. Hapa hapaelewek hata Dola (USD) kupata ni kwa dili. Ukijichanganya biashara utawajua TRA vizuri. Kiufupi hapa umeyatimba.
NB: Wauza sembe ndio wanatamba
 
Hahaaaa ,wakaona mbugila hizi zimetoka Bongo kuja kuturingishia pesa ,mamaee makofi na kuporwa juu
 

Mkuu mbona wazalendo walimsifu sana Mugabe kwa kitendo chake cha kuwafukuza wazungu mabwanyenye?!
 
Asante ila mi ni Mungu aliingilia kati nje ya hapo nilikuwa sitoboi panahitaji utulivu mkubwa sana na ukiwa na kiongozi Inasaidia ila ukiwa solo tena mara ya kwanza kupotea ni kugusa
Kumbuka uliondoka ukiwa umemuacha your mama anajua uko safarini, so ulikuwa moyoni mwake hata wkt unawasiliana na mwenyezi Mungu hadi kusoma maneno yake, naye hakuona nia hovu kwako akakupa kampani ndiyo maana ukatoboa.

Vijana wengi hujitutumua sana wakitegemea uwezo wao na maguvu ya mwili na kumsahau Mola na ndiyo maana sometimes kuna kufail sana.
 
.
 
Ni nchi hatari sana saa 12 wote MKo ndani Wala sio amri ya serikali ni amri ya magenge ya uhalifu
Hii ni kwa wale wanaokaa township, hususa ni huko Mandalay Gugulethu, Philipi, Delft, Danoon, Langa, Nyanga na maeneo mengine yanayofanana na hayo, kwa miaka miwili niliyoishi capetown (blouberg) hakukuwa na matatizo haya kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…