labda wewe uko tofauti,
wanaume wengi wanachukulia kama udhaifu kumkea mtu
ila amekubali kuwa yeye yuko kny hilo kundi kubwa,lol
Ramos ukitaka ufurahi zaidi na mkeo,ongeza makea usione haya lol sema mawifi wawe mbali sie wanawake tunajua kuchonga pia hatareee labda kama ni walee wa kidigitale,kama wale wa analogia hapo mmefeli aisee watachongaa