Roadmap
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 2,898
- 5,796
Wakuu, Sikutegemea kabisa Chadema waitishe mikutano ya hadhara na kuruhusu mikusanyiko kama inayo endelea sasa, Wote tunajua kuwa hawa ndugu zetu walikuwa wanapiga mayowe kuwa Convid19 itatumaliza kama hatua za haraka zisipo chukuliwa, Mwenyekiti wao Freeman Mbowe alienda mbali zaidi na Kumtaka Mheshimu Rais aweke Full or partial lockdown na curfew mbalimbali, Ila ni ajabu sana hawa watu hata bado suala la corona halijaisha ila wanaifurahia nchi yao bila face mask wala Social distancing rules, Wana enjoy kweli kweli na wanajichanganya haswa na Raia.
Hii maana yake ni kuwa Tanzania is free from Corona, We are safe and strong, Lakini hawa Wapinzani wana enjoy hizi political rallies na mikusanyiko kwa ujasiri na ushupavu wa Mheshimiwa Rais Magufuli, Rais asingechukua maamuzi haya na kuwasikiliza hao vibaraka leo pengine ingekuwa wanalia lia kuwa wamefungiwa ndani kwa ajili ya Corona wapinzani wameshindwa kutoa hata credit kwa Rais Magufuli sisi hatuna habari lao waendelee kuenjoy mikutano ya kisiasa na mikusanyiko na hata face mask tu hawavai na wajue tu wako salama chini ya Amiri Jeshi Mkuu Magufuli
Katika kipindi Tanzania inahitaji Rais mwenye maamuzi basi ni wakati huu Rais Magufuli anatosha sana na Miaka mitano atapata, Nchi haiwezi kuongozwa kwa kelele za activists wa Twitter na JF
Kasi Kasi Zaidi
JPM mitano tena
Hii maana yake ni kuwa Tanzania is free from Corona, We are safe and strong, Lakini hawa Wapinzani wana enjoy hizi political rallies na mikusanyiko kwa ujasiri na ushupavu wa Mheshimiwa Rais Magufuli, Rais asingechukua maamuzi haya na kuwasikiliza hao vibaraka leo pengine ingekuwa wanalia lia kuwa wamefungiwa ndani kwa ajili ya Corona wapinzani wameshindwa kutoa hata credit kwa Rais Magufuli sisi hatuna habari lao waendelee kuenjoy mikutano ya kisiasa na mikusanyiko na hata face mask tu hawavai na wajue tu wako salama chini ya Amiri Jeshi Mkuu Magufuli
Katika kipindi Tanzania inahitaji Rais mwenye maamuzi basi ni wakati huu Rais Magufuli anatosha sana na Miaka mitano atapata, Nchi haiwezi kuongozwa kwa kelele za activists wa Twitter na JF
Kasi Kasi Zaidi
JPM mitano tena