Nilitaka kumuoa, nimeghairi

Nilitaka kumuoa, nimeghairi

Kinjekitile Jr

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
592
Reaction score
1,698
Poleni na majukumu wana wa Mungu!

Nimekuwa kwenye mahusiano na binti fulani hapa chuoni kwa kipindi kama cha mwaka mzima mpaka sasa.

Mwanzo nilimuona ni binti mstaarabu na asiependa makuu kwani hapendi kuvaa au kupendeza sana (anavaa kikawaida sana) kama wasichana wengine wa vyuoni.

Nilipomuona kwa mara ya kwanza niliona atanifaa kwa sababu asingeweza kuniingiza kwenye gharama za rejareja.

Sasa bwana! Kumbe nilikuwa najidanganya sababu wanawake ni nyoka aiseeh! tena wenye sumu kali sana tena sana. Ipo hivi, juzi nilimkuta anachat na mtu nikamuuliza mbona siku hizi anachat sana akaniambia anachat na kaka yake(kuna jamaa alishawahi kuniambia ni kaka yake lakini Kumbe ndiyo mtu wake wa nguvu kabsa).

Sasa bahati mbaya au nzuri mwamba akapiga simu, alipoona ile namba binti akagoma kupokea simu.

Mimi: Mbona hupokei simu
Yeye: Huyu kaka yangu ananisumbua tu achana nae
Niliendelea kumlazimisha apokee simu lakini mwisho akapokea ila akamjibu;

Yeye; Kaka nipo kwenye kelele nipigie baadae

Kiukweli taa nyekundu ilianza kuwaka kichwani kwangu na nilianza kumfuatilia mpaka jana nilipo pata sababu ya kuandika haya,ilikuwa hivi;

Nilifanikiwa kupata namba ya huyo mwishowe nikampigia simu kama kumsalimia, nikamuuliza kama ana mdogo wake akaniambia hana.

Baadae nikamuuliza kama anamjua binti yule akanijibu ndiyo.

Mimi: Sawa kaka nashukuru kwa ushirirkiano wako.

Jamaa:kwanini umeniuliza? Na wewe nani yako? Niambie ili nikuambie mengi ambayo nayajua kuhusu huyo binti

Mimi: Kiukweli kaka nipo nae kwenye mahusiano ila nilikuta namba yako ndio imenitisha

Jamaa Daah!!! Kijana huyo binti ni mpuuzi sana, mimi nipo nae kwenye uhusiano mwaka wa 4 sasa na hata ada namlipia mimi kuanzia yupo advance mpaka sasa yupo chuo bado anatumia pesa yangu(hana mkopo wala boom) sasa nashindwa kuelewa huyu binti ananitaka nini nitamuua kummk aache kucheza na mimi

Mimi: Kaka nimekuelewa na Asante sana kwa ushirikiano wako

Jamaa dogo usikate simu ngoja nikuunganishe nae ila usiongee chochote mpaka nikuruhusu sawa?

Mimi: Poa kaka hakuna shida!!!
Jamaa akamuunganisha kwenye mazungumzo yetu….kiukweli niliyo yasikia kutoka kwa yule binti sikuamini, yani alikuwa anamsifia mwamba wazi wazi tena kwa Mahaba yote (alikuwa ananiambia hana mtu mwingine zaidi yangu) nilitamani kama angekuwepo nimchape hata shaba.

Waliongea mengi mwisho mwamba akaniambia:

Jamaa: Oya ebu zungumza na huyu baby wako nahisi umemsikia yote anayoniambia

Mimi: Mambo mrembo

Binti: Nzuri wee nani tena jamani?

Mimi: Ngwale jr(nikamtajia jina langu), Aliposikia jina langu akaanza kulia na akaniambia mbele ya jamaa anasikia eti nimsamehe na akakata simu baadae jamaa akaendelea;

Jamaa; Oya huyu binti nitamfanyia zengwe hataamini maisha yake na ikiwezekana nitampoteza na mimi nipotee kabisa(jamaa ana pesa sana maana anamiliki hotel kubwa Moshi nyumbani kwao na huyu binti kwa taarifa nilizo pata).

Sasa leo huyu Delilah asubuhi kaamkia ghetto kwangu huku analia anataka anielezee kila kitu kumuhusu huyu mwamba.

Nlikuwa nina hasira sana nikamjibu kuwa nahitaji aondoke maana sitaki hata nimuone.

Alilia sana baadae niliamua kumtoa nje kwa nguvu na kuzima kabisa mpaka ile sim card aliyokuwa anaifahamu

Ninamuona kama muuaji kwangu maana tulikuwa tunatumia sana za kwake kumbe ni za jamaa yake, sasa baadae kama ningemuoa si jamaa angenifahamu akaniua!?

Sitooa! acheni nile kwanza maisha kama wanawake wenyewe ndio hawa wasio kuwa na plan yoyote kuhusu future…

Nitaendelea kuwa single mpaka pale nitakapopata mwenye akili inayoendana na harakati zangu.

Fear women
 
Acha ujingaa.

Kwakua umeshakua ndivo alivyo, usipaniki.

Huyo jamaa Boss, ni Wa nyumban na pengine ana Mke na watoto.

Wewe ni wakichuo, kikawaida mabinti hata kama katika kwao ana Mume, akifika chuo lazima awe na wa chuon.

Sasa Basi, wee endelea kujipakuliaa 😂.

Kwakua ni mkosaji anayetafuta kusamehewa, atakubali tu.

Ila sikushauri ule Ndogo.!!...wee endelea kula mzigo.

Halafu acha hizo habari za nilitaka kumuoa, ndo kwanza uko chuo, huna uhakika wa Maisha, unanjaa.
 
images (24).jpeg
 
Acha ujingaa.


Kwakua umeshakua ndivo alivyo ,usipaniki.


Huyo jamaa Boss, ni Wa nyumban na pengine ana Mke na watoto.


Wewe ni wakichuo, kikawaida mabinti hata kama katika kwao ana Mume, akifika chuo lazima awe na wa chuon .



Sasa Basi, wee endelea kujipakuliaa, Tena hapo unaweza muomba na Tigoo 😂.

Kwakua ni mkosaji anayetafuta kusamehewa, atakubali tuuu.



Ila sikushauri ule Ndogo.!!...wee endelea kula mzigoooo.


Alafu acha hizo habari za nilitaka kumuoa, ..ndo kwanza uko chuo, huna uhakika wa Maisha, unanjaaa ,!!
😂 eti alitaka kumuoa, dogo angetulia maisha yaendelee ukizingatia demu sio wa vizinga na mbususu anapata.
 
Poleni na majukumu wana wa mungu!!!!

Nimekuwa kwenye mahusiano na binti Fulani hapa chuoni kwa kipindi kama cha mwaka mzima mpaka sasa.

Mwanzo nilimuona ni binti mstaarabu na asiependa makuu kwani hapendi kuvaa au kupendeza sana (anavaa kikawaida sana) kama wasichana wengine wa vyuoni……nilipo muona kwa mara ya kwanza niliona atanifaa kwa sababu asingeweza kuniingiza kwenye gharama za rejareja.

Sasa bwana!!!! Kumbe nilikuwa najidanganya sababu wanawake ni nyoka aiseeh!!! Tena wenye sumu kali sana tena sana…. Ipo hivi,juzi nilimkuta anachat na mtu nikamuuliza mbona siku hizi anachat sana akaniambia anachat na kaka yake(kuna jamaa alishawahi kuniambia ni kaka yake lakini Kumbe ndio mtu wake wa nguvu kabsa)……sasa bahati mbaya au nzuri mwamba akapiga simu,alipoona ile namba binti akagoma kupokea simu

Mimi:Mbona hupokei simu
Yeye:Huyu kaka yangu ananisumbua tu achana nae
Niliendelea kumlazimisha apokee simu lakini mwisho akapokea ila akamjibu;

Yeye;Kaka nipo kwenye kelele nipigie baadae

Kiukweli taa nyekundu ilianza kuwaka kichwani kwangu na nilianza kumfuatilia mpaka jana nilipo pata sababu ya kuandika haya,ilikuwa hivi;
Nilifanikiwa kupata namba ya huyo mwishowe nikampigia simu kama kumsalimia,nikamuuliza kama ana mdogo wake akaniambia hana….baadae nikamuuliza kama anamjua binti yule akanijibu ndio.

Mimi:Sawa kaka nashukuru kwa ushirirkiano wako
Jamaa:kwanini umeniuliza??? Na wewe nani yako? Niambie ili nikuambie mengi ambayo nayajua kuhusu huyo binti

Mimi:Kiukweli kaka nipo nae kwenye mahusiano ila nilikuta namba yako ndio imenitisha…….

Jamaa😀aah!!! Kijana huyo binti ni mpuuzi sana tena kummk ….mimi nipo nae kwenye uhusiano mwaka wa 4 sasa na ata ada namlipia mimi kuanzia yupo advance mpaka sasa yupo chuo bado anatumia pesa yangu(hana mkopo wala boom) sasa nashindwa kuelewa huyu binti ananitaka nini…….nitamuua kummk aache kucheza na mimi

Mimi:Kaka nimekuelewa na Asante sana kwa ushirikiano wako

Jamaa😀ogo usikate simu ngoja nikuunganishe nae ila usiongee chochote mpaka nikuruhusu sawa?

Mimi😛oa kaka hakuna shida!!!
Jamaa akamuunganisha kwenye mazungumzo yetu….kiukweli niliyo yasikia kutoka kwa yule binti sikuamini,yani alikuwa anamsifia mwamba wazi wazi tena kwa Mahaba yote(alikuwa ananiambia hana mtu mwingine zaidi yangu) nilitamani kama angekuwepo nimchape ata shaba….

Waliongea mengi mwisho mwamba akaniambia:

Jamaa:Oya ebu zungumza na huyu baby wako nahisi umemsikia yote anayoniambia

Mimi:Mambo mrembo

Binti:Nzuri wee nani tena jamani???

Mimi:Ngwale jr(nikamtajia jina langu)…..Aliposikia jina langu akaanza kulia na akaniambia mbele ya jamaa anasikia eti nimsamehe na akakata simu baadae jamaa akaendelea;

Jamaa;Oya huyu binti nitamfanyia zengwe hataamini maisha yake na ikiwezekana nitampoteza na mimi nipotee kabisa(jamaa ana pesa sana maana anamiliki hotel kubwa moshi nyumbani kwao na huyu binti kwa taarifa nilizo pata )

Sasa leo huyu Delilah asubuhi kaamkia ghetto kwangu huku analia anataka anielezee kila kitu kumuhusu huyu mwamba…..nilikuwa nina hasira sana nikamjibu kuwa nahitaji aondoke maana sitaki ata nimuone,Alilia sana baadae niliamua kumtoa nje kwa nguvu na kuzima kabisa mpaka ile sim card aliyokuwa anaifahamu

Ninamuona kama muuaji kwangu maana tulikuwa tunatumia sana za kwake kumbe ni za jamaa yake….sasa baadae kama ningemuoa si jamaa angenifahamu akaniua!?

Sitooa!!!acheni nile kwanza maisha kama wanawake wenyewe ndio hawa wasio kuwa na plan yoyote kuhusu future…..nitaendelea kuwa single mpaka pale nitakapopata mwenye akili inayo endana na harakati zangu…….

Fear women
Yani mtu ananipa mkuyenge kwa wakati, anahakikisha niko sawa kwa kila namna eeh simu yake tena ya kazi gani.
 
Poleni na majukumu wana wa mungu!!!!

Nimekuwa kwenye mahusiano na binti Fulani hapa chuoni kwa kipindi kama cha mwaka mzima mpaka sasa.

Mwanzo nilimuona ni binti mstaarabu na asiependa makuu kwani hapendi kuvaa au kupendeza sana (anavaa kikawaida sana) kama wasichana wengine wa vyuoni……nilipo muona kwa mara ya kwanza niliona atanifaa kwa sababu asingeweza kuniingiza kwenye gharama za rejareja.

Sasa bwana!!!! Kumbe nilikuwa najidanganya sababu wanawake ni nyoka aiseeh!!! Tena wenye sumu kali sana tena sana…. Ipo hivi,juzi nilimkuta anachat na mtu nikamuuliza mbona siku hizi anachat sana akaniambia anachat na kaka yake(kuna jamaa alishawahi kuniambia ni kaka yake lakini Kumbe ndio mtu wake wa nguvu kabsa)……sasa bahati mbaya au nzuri mwamba akapiga simu,alipoona ile namba binti akagoma kupokea simu

Mimi:Mbona hupokei simu
Yeye:Huyu kaka yangu ananisumbua tu achana nae
Niliendelea kumlazimisha apokee simu lakini mwisho akapokea ila akamjibu;

Yeye;Kaka nipo kwenye kelele nipigie baadae

Kiukweli taa nyekundu ilianza kuwaka kichwani kwangu na nilianza kumfuatilia mpaka jana nilipo pata sababu ya kuandika haya,ilikuwa hivi;
Nilifanikiwa kupata namba ya huyo mwishowe nikampigia simu kama kumsalimia,nikamuuliza kama ana mdogo wake akaniambia hana….baadae nikamuuliza kama anamjua binti yule akanijibu ndio.

Mimi:Sawa kaka nashukuru kwa ushirirkiano wako
Jamaa:kwanini umeniuliza??? Na wewe nani yako? Niambie ili nikuambie mengi ambayo nayajua kuhusu huyo binti

Mimi:Kiukweli kaka nipo nae kwenye mahusiano ila nilikuta namba yako ndio imenitisha…….

Jamaa😀aah!!! Kijana huyo binti ni mpuuzi sana tena kummk ….mimi nipo nae kwenye uhusiano mwaka wa 4 sasa na ata ada namlipia mimi kuanzia yupo advance mpaka sasa yupo chuo bado anatumia pesa yangu(hana mkopo wala boom) sasa nashindwa kuelewa huyu binti ananitaka nini…….nitamuua kummk aache kucheza na mimi

Mimi:Kaka nimekuelewa na Asante sana kwa ushirikiano wako

Jamaa😀ogo usikate simu ngoja nikuunganishe nae ila usiongee chochote mpaka nikuruhusu sawa?

Mimi😛oa kaka hakuna shida!!!
Jamaa akamuunganisha kwenye mazungumzo yetu….kiukweli niliyo yasikia kutoka kwa yule binti sikuamini,yani alikuwa anamsifia mwamba wazi wazi tena kwa Mahaba yote(alikuwa ananiambia hana mtu mwingine zaidi yangu) nilitamani kama angekuwepo nimchape ata shaba….

Waliongea mengi mwisho mwamba akaniambia:

Jamaa:Oya ebu zungumza na huyu baby wako nahisi umemsikia yote anayoniambia

Mimi:Mambo mrembo

Binti:Nzuri wee nani tena jamani???

Mimi:Ngwale jr(nikamtajia jina langu)…..Aliposikia jina langu akaanza kulia na akaniambia mbele ya jamaa anasikia eti nimsamehe na akakata simu baadae jamaa akaendelea;

Jamaa;Oya huyu binti nitamfanyia zengwe hataamini maisha yake na ikiwezekana nitampoteza na mimi nipotee kabisa(jamaa ana pesa sana maana anamiliki hotel kubwa moshi nyumbani kwao na huyu binti kwa taarifa nilizo pata )

Sasa leo huyu Delilah asubuhi kaamkia ghetto kwangu huku analia anataka anielezee kila kitu kumuhusu huyu mwamba…..nilikuwa nina hasira sana nikamjibu kuwa nahitaji aondoke maana sitaki ata nimuone,Alilia sana baadae niliamua kumtoa nje kwa nguvu na kuzima kabisa mpaka ile sim card aliyokuwa anaifahamu

Ninamuona kama muuaji kwangu maana tulikuwa tunatumia sana za kwake kumbe ni za jamaa yake….sasa baadae kama ningemuoa si jamaa angenifahamu akaniua!?

Sitooa!!!acheni nile kwanza maisha kama wanawake wenyewe ndio hawa wasio kuwa na plan yoyote kuhusu future…..nitaendelea kuwa single mpaka pale nitakapopata mwenye akili inayo endana na harakati zangu…….

Fear women
Ni asilimia chache ambao huwa mapenzi ya chuo yanafika kuwa ndoa.
Mkimaliza chuo yanakwisha maana hasa mwanaume ukikosa kazi miaka miwili lazima akupige chini atafute mwenye future
 
Poleni na majukumu wana wa mungu!!!!

Nimekuwa kwenye mahusiano na binti Fulani hapa chuoni kwa kipindi kama cha mwaka mzima mpaka sasa.

Mwanzo nilimuona ni binti mstaarabu na asiependa makuu kwani hapendi kuvaa au kupendeza sana (anavaa kikawaida sana) kama wasichana wengine wa vyuoni……nilipo muona kwa mara ya kwanza niliona atanifaa kwa sababu asingeweza kuniingiza kwenye gharama za rejareja.

Sasa bwana!!!! Kumbe nilikuwa najidanganya sababu wanawake ni nyoka aiseeh!!! Tena wenye sumu kali sana tena sana…. Ipo hivi,juzi nilimkuta anachat na mtu nikamuuliza mbona siku hizi anachat sana akaniambia anachat na kaka yake(kuna jamaa alishawahi kuniambia ni kaka yake lakini Kumbe ndio mtu wake wa nguvu kabsa)……sasa bahati mbaya au nzuri mwamba akapiga simu,alipoona ile namba binti akagoma kupokea simu

Mimi:Mbona hupokei simu
Yeye:Huyu kaka yangu ananisumbua tu achana nae
Niliendelea kumlazimisha apokee simu lakini mwisho akapokea ila akamjibu;

Yeye;Kaka nipo kwenye kelele nipigie baadae

Kiukweli taa nyekundu ilianza kuwaka kichwani kwangu na nilianza kumfuatilia mpaka jana nilipo pata sababu ya kuandika haya,ilikuwa hivi;
Nilifanikiwa kupata namba ya huyo mwishowe nikampigia simu kama kumsalimia,nikamuuliza kama ana mdogo wake akaniambia hana….baadae nikamuuliza kama anamjua binti yule akanijibu ndio.

Mimi:Sawa kaka nashukuru kwa ushirirkiano wako
Jamaa:kwanini umeniuliza??? Na wewe nani yako? Niambie ili nikuambie mengi ambayo nayajua kuhusu huyo binti

Mimi:Kiukweli kaka nipo nae kwenye mahusiano ila nilikuta namba yako ndio imenitisha…….

Jamaa😀aah!!! Kijana huyo binti ni mpuuzi sana tena kummk ….mimi nipo nae kwenye uhusiano mwaka wa 4 sasa na ata ada namlipia mimi kuanzia yupo advance mpaka sasa yupo chuo bado anatumia pesa yangu(hana mkopo wala boom) sasa nashindwa kuelewa huyu binti ananitaka nini…….nitamuua kummk aache kucheza na mimi

Mimi:Kaka nimekuelewa na Asante sana kwa ushirikiano wako

Jamaa😀ogo usikate simu ngoja nikuunganishe nae ila usiongee chochote mpaka nikuruhusu sawa?

Mimi😛oa kaka hakuna shida!!!
Jamaa akamuunganisha kwenye mazungumzo yetu….kiukweli niliyo yasikia kutoka kwa yule binti sikuamini,yani alikuwa anamsifia mwamba wazi wazi tena kwa Mahaba yote(alikuwa ananiambia hana mtu mwingine zaidi yangu) nilitamani kama angekuwepo nimchape ata shaba….

Waliongea mengi mwisho mwamba akaniambia:

Jamaa:Oya ebu zungumza na huyu baby wako nahisi umemsikia yote anayoniambia

Mimi:Mambo mrembo

Binti:Nzuri wee nani tena jamani???

Mimi:Ngwale jr(nikamtajia jina langu)…..Aliposikia jina langu akaanza kulia na akaniambia mbele ya jamaa anasikia eti nimsamehe na akakata simu baadae jamaa akaendelea;

Jamaa;Oya huyu binti nitamfanyia zengwe hataamini maisha yake na ikiwezekana nitampoteza na mimi nipotee kabisa(jamaa ana pesa sana maana anamiliki hotel kubwa moshi nyumbani kwao na huyu binti kwa taarifa nilizo pata )

Sasa leo huyu Delilah asubuhi kaamkia ghetto kwangu huku analia anataka anielezee kila kitu kumuhusu huyu mwamba…..nilikuwa nina hasira sana nikamjibu kuwa nahitaji aondoke maana sitaki ata nimuone,Alilia sana baadae niliamua kumtoa nje kwa nguvu na kuzima kabisa mpaka ile sim card aliyokuwa anaifahamu

Ninamuona kama muuaji kwangu maana tulikuwa tunatumia sana za kwake kumbe ni za jamaa yake….sasa baadae kama ningemuoa si jamaa angenifahamu akaniua!?

Sitooa!!!acheni nile kwanza maisha kama wanawake wenyewe ndio hawa wasio kuwa na plan yoyote kuhusu future…..nitaendelea kuwa single mpaka pale nitakapopata mwenye akili inayo endana na harakati zangu…….

Fear women

IMG_7884.jpg
 
endelea kula iyo mbususu Tena sugua kwa hasira zote ipelekeshe itese kihisia anza toka na pisi nyingine hapo chuo huku ikijua unaichit pia
hakikisha usiwe na malengo nayo Tena
 
Na wewe pia bado haujakomaa kwenye mapenzi,hawa hawafuatiliagi siku hizi,we akikisha anakuzalia watoto wanaofanana na wewe, kama umemuoab ila kama bado kula kwa wakati wako,pia fahamu mapenzi ya chuo huwa niyamuda mfupi na yatakufaa punde mkishamaliza chuo.

Ipo hivi mwanamke akishamaliza chuo huwatafuta wenye kazi na wenye pesa..wewe utakuwa huna msaada baada ya masomo
Na huyo msichana akishamaliza chuo atamrudia huyo jamaa wake wenye hotel tena kwa mapenzi moto moto na ya unyenyekevu wa hali ya juu.
 
Na wewe pia bado haujakomaa kwenye mapenzi,hawa hawafuatiliagi siku hizi,we akikisha anakuzalia watoto wanaofanana na wewe, kama umemuoab ila kama bado kula kwa wakati wako,pia fahamu mapenzi ya chuo huwa niyamuda mfupi na yatakufaa punde mkishamaliza chuo.

Ipo hivi mwanamke akishamaliza chuo huwatafuta wenye kazi na wenye pesa..wewe utakuwa huna msaada baada ya masomo
Na huyo msichana akishamaliza chuo atamrudia huyo jamaa wake wenye hotel tena kwa mapenzi moto moto na ya unyenyekevu wa hali ya juu.

Mkuu ninakuahidi ya kuwa hii mbususu nitaendelea kuichapa kisawa sawa mpaka niichoke mwenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom