Nilistaajabu ya Ngeleja, Ninaona ya Makamba

Logikos

JF-Expert Member
Feb 26, 2014
12,484
19,516
Hapo kabla alikuwepo Ngeleja, Huyu Bwana mgao ulikuwa ni kawaida jamaa alikuwa vema kwenye kupanga bila vitendo, mipango isiyo na mwisho.

Akaja Hayati Magufuli mambo yakawa bora na tukapewa ahadi umeme kushuka pindi Bwawa likiisha, akatwambia mgao ulikuwa unatengenezwa watu wauze magenerator (binafsi nikajisemea huyu mzee anapiga propaganda)

Sasa wamekuja hawa, wanazalisha excuses kuliko megawatts, wanasema kipindi kile jamaa alikuwa hafanyi maintenance, wanasahau tunachotaka sisi ni umeme wa uhakika na gharama nafuu, kama ni excuses hata sisi tunaweza kuzizalisha

Nachelea kusema huenda zama za Ngeleja zimerudi.

By Mtanzania niandikae haya nikiwa Gizani
 
Hawa ni wapigaji kuliko kipindi chochote kile ulichowahi kupitia kama mtanzania.

Makamba anachofanya ni kukusanya pesa ya kusaka urais kwa hongo na hakuna kingine.

Ndio maana alipoingia tu akapangua bodi ya TANESCO Iliyokuwa imesheheni wataalamu bobezi wa nishati na kuwaleta washkaji wake na "Team msoga suppoters"tupu.

Na ndio matokeo yake haya unayaona sasa!

Wengine aliwatoa kwenye kampuni za kuuza madishi ya Television kule DSTV na wengine kutoka viwanda vya Coca Cola nk.

Lengo la Kikwete ni kushikilia Remote Control mpaka anaiachia akiingia kaburini.
Mmenielewa.
 
Jikite kuimarisha uchumi wako na familia yako, usipopiga awamu hii andika maumivu tu.
 
Kuna jamaa humu aliwahi kumpa onyo hakimu wa mahakama ya ilala na
haikupita hata wiki yule hakimu akatangulia mbele za haki.
Hivi hawezi kufanya jambo tena kwa ajili ya watanganyika?
mwenye kumbukumbu na ule uzi aupandishe humu tafadhali.
 
Jikite kuimarisha uchumi wako na familia yako, usipopiga awamu hii andika maumivu tu.
Wewe kinyozi unaimarisha uchumi kwa kutumia nishati ya mshumaa?!!

Hii haina tofauti ya kujiibia mfuko wa suruali na kuweka mfuko wa shati
 
Hapo kabla alikuwepo Ngeleja, Huyu Bwana mgao ulikuwa ni kawaida jamaa alikuwa vema kwenye kupanga bila vitendo, mipango isiyo na mwisho.

Akaja Hayati Magufuli mambo yakawa bora na tukapewa ahadi umeme kushuka pindi Bwawa likiisha, akatwambia mgao ulikuwa unatengenezwa watu wauze magenerator (binafsi nikajisemea huyu mzee anapiga propaganda)

Sasa wamekuja hawa, wanazalisha excuses kuliko megawatts, wanasema kipindi kile jamaa alikuwa hafanyi maintenance, wanasahau tunachotaka sisi ni umeme wa uhakika na gharama nafuu, kama ni excuses hata sisi tunaweza kuzizalisha

Nachelea kusema huenda zama za Ngeleja zimerudi.

By Mtanzania niandikae haya nikiwa Gizani
Unacheza na wizara ya kizmkazi, inaongozwa na last born wawili, January Afidhi Armeir, na mdogo wake Abdul Afidhi Armeir,
 
Hivi hawa jamaa wanasambaza umeme au wanasambaza Giza ?
 
Leo siku nzima sijafanya kazi kisa umeme kuzimwa samoja Asubuhi na kurudi sakumi na mbili jioni, Pumbavu kabisa, sijui nani aliwaambia tunahitaji umeme usiku tu
 
Back
Top Bottom