Nilishaandika sitasafiri kwa meli kwenda Zanzibar mpaka Azam aanze kutupa maboya kabisa tuvae kabla ya safari...

FrankLutazamba

JF-Expert Member
Aug 9, 2018
449
408
Meli nyingi huzama taratibu hivyo kutoa wasaa Kwa watu wa uokoaji kugawa maboya Kwa wasafiri

Lakini siku za hivi karibuni tumeshuhudia meli zikipinduka badala ya kuzama,nikitumia id ya mwibamwiba au mwiba humu JF kama sikosei niliwahi kuliandika hili

Binafsi sipo tayari kusafiri Kwa meli au boti kwenda Zanzibar Kwa sasa ikiwa wadau wa meli hizo hawataanzisha utaratibu wa kugawa maboya kabla ya safari na tuyavae kabisa kabisa kwani itawagharimu sh.ngapi,na kwanza itaongeza ajira Kwa wagawaji wa maboya hayo na wayadhibitishe TBS

Hata wakati wa kuvuka Kwa kivuko kwenda Kigamboni huwa nakaa juu karibu na maboya

Lakini walivyo hawajali wala hawawezi kufanya na mkurugenzi was Sumatra yupo,huwa najiuliza Sumatra wanafanya kazi kweli na wanajali watu ikiwa watashindwa kulitekeleza hili

Ndugu Dr.Ayoub Ryoba mkurungezi was TBC TAIFA tunakuomba umuhoji mkurugenzi was Sumatra ikiwa anafikiriaje kulisimamia hili

Mimi nayasema Kwa kuwa Azam hana uwezo wa kuniroga na nilipaswa niwe tajiri kuliko yeye,nyota yangu ni kubwa kuliko yake,watu wengine si rahisi kuyasema haya

Instagram:kaukwaju
 

Attachments

  • IMG_20180919_150614_496.jpg
    IMG_20180919_150614_496.jpg
    17.5 KB · Views: 51
Hata hizi meli mpya zinazonunuliwa kama serikali haitaweka utaratibu mpya ulio mzuri kuna uwezekano watu wakawa wanakacha kutumia usafiri wa majini kutokana na kukosa usimamizi makini na wa kitaalamu. Haiwezekani vyombo havitengenezwi na vingine vinajaza kupita kiasi na bado mnataka watu wapande, sie wa Kagera sahivi tushazoea barabara tutaendelea kusaga lami labda mizigo yetu ndo tutakuwa tunaipakia inaenda pekee yake.
 
Meli nyingi huzama taratibu hivyo kutoa wasaa Kwa watu wa uokoaji kugawa maboya Kwa wasafiri

Lakini siku za hivi karibuni tumeshuhudia meli zikipinduka badala ya kuzama,nikitumia id ya mwibamwiba au mwiba humu JF kama sikosei niliwahi kuliandika hili

Binafsi sipo tayari kusafiri Kwa meli au boti kwenda Zanzibar Kwa sasa ikiwa wadau wa meli hizo hawataanzisha utaratibu wa kugawa maboya kabla ya safari na tuyavae kabisa kabisa kwani itawagharimu sh.ngapi,na kwanza itaongeza ajira Kwa wagawaji wa maboya hayo na wayadhibitishe TBS

Hata wakati wa kuvuka Kwa kivuko kwenda Kigamboni huwa nakaa juu karibu na maboya

Lakini walivyo hawajali wala hawawezi kufanya na mkurugenzi was Sumatra yupo,huwa najiuliza Sumatra wanafanya kazi kweli na wanajali watu ikiwa watashindwa kulitekeleza hili

Ndugu Dr.Ayoub Ryoba mkurungezi was TBC TAIFA tunakuomba umuhoji mkurugenzi was Sumatra ikiwa anafikiriaje kulisimamia hili

Mimi nayasema Kwa kuwa Azam hana uwezo wa kuniroga na nilipaswa niwe tajiri kuliko yeye,nyota yangu ni kubwa kuliko yake,watu wengine si rahisi kuyasema haya

Instagram:kaukwaju
Dah....akuafobia?
 
Meli nyingi huzama taratibu hivyo kutoa wasaa Kwa watu wa uokoaji kugawa maboya Kwa wasafiri

Lakini siku za hivi karibuni tumeshuhudia meli zikipinduka badala ya kuzama,nikitumia id ya mwibamwiba au mwiba humu JF kama sikosei niliwahi kuliandika hili

Binafsi sipo tayari kusafiri Kwa meli au boti kwenda Zanzibar Kwa sasa ikiwa wadau wa meli hizo hawataanzisha utaratibu wa kugawa maboya kabla ya safari na tuyavae kabisa kabisa kwani itawagharimu sh.ngapi,na kwanza itaongeza ajira Kwa wagawaji wa maboya hayo na wayadhibitishe TBS

Hata wakati wa kuvuka Kwa kivuko kwenda Kigamboni huwa nakaa juu karibu na maboya

Lakini walivyo hawajali wala hawawezi kufanya na mkurugenzi was Sumatra yupo,huwa najiuliza Sumatra wanafanya kazi kweli na wanajali watu ikiwa watashindwa kulitekeleza hili

Ndugu Dr.Ayoub Ryoba mkurungezi was TBC TAIFA tunakuomba umuhoji mkurugenzi was Sumatra ikiwa anafikiriaje kulisimamia hili

Mimi nayasema Kwa kuwa Azam hana uwezo wa kuniroga na nilipaswa niwe tajiri kuliko yeye,nyota yangu ni kubwa kuliko yake,watu wengine si rahisi kuyasema haya

Instagram:kaukwaju
Mkuu kama hiyo picha ni yako, naomba namba yako PM kuna jambo la msingi nataka tujadiliane kuhusu maboya.
 
Haha wewe usipande sisi tutapanda wakat mwengine waweza kaa na hilo boya karibu kwa kiwewe cha kuzama kwa meli au kivuko ukajikuta pia usipate akili ya kuvaa
 
AZAM ANA UMAKINI SANA KUHUSU UJAZO WA BOAT ZAKE!
Yaani ikoshafika kiwango cha uwezo wa boat, piga uwa garagaza haongezi hata ukifanya nini walahi!
Kwa ukweli Azam wamekuwa makini sana na Mola abariki wawe na moyo huo huo walahi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom