mi sio mjanja ila nina nia awe wangu maishani,sa bila kupima hatutapata watoto
Ilikua mwaka 2008 nilipokua mitaa ya nmb posta nikakutana na kimwana wa mwenge na tukajuana kama binadamu mana tulikua wote profassional moja,badae tukawa tunawasiliana na tukazoena.Alinitembelea kwangu na nlikua nakaa geto home ilikua kaskazini mwa tz,na mie geto Bagamoyo ani,yeye alitaka tufanye mapenzi,ila sikukubali,nikaumwa nikaenda kwake nikawa nimepona,na bado nikamwambia hatujuani tukapime sb mi nawe hatujuani historia zetu,akakataa tukaachana toka 2008 hadi juzi 2012 janipigia simu kua yupo morogoro nimfate ananihitaji,kwa vile aliniuguza nikaenda.kufika ikabidi nilale,sasa wakati tumelala akawa anasema nataka nikufundishe,yani hanipi japo sikihitaji maana bado msimamo ninao.Akawa anadai kua kama ukinitaka sku ingine,je unadhani ni kwa nini ananivuta kijanja na hataki kupima,naomba maoni yako ndugu
sio kujiplizi naomba ushuri mana nampenda ila kupima hataki
Dogo anasaundi kama mjanja mjanja huyu , sioni kama anaweza kuachia kitu kama hiyo imejipeleka yenyewe anataka support tu
wavulana wengine wana akili za ajabu sana, mtu unatoka kwako,unafahamu yaliyowahi tokea huko nyuma....kinachoenda kukulaza kwake ni nini? si utafute walau hoteli au guest house maeneo ya jiraji ukakae hapo mkishamaliza mazungumzo....unajipumzikia unaondoka....huu ulelemama na upenda vyepesi wa wavulana na wanaume wengi utawagharimu sana....kuna tatizo katika malezi....uanaume umebaki kuzaliwa hivyo na si ki matendo na mienendo!
Hataki kupima kwasababu we kwake ni wa kupita....hakupendi anataka mbilimbi yako!