Nilipomwambia hadi tupime hiv status.

Michelle me ni mtumzima na so mvulana labda uniite mtu mzima Ovyo
 
oppss.....dogo umenishtua na hiyo sentensi kwenye red....kumbe hofu yako wewe kujua HIV status ni mtoto?...wewe ilishapima kabla? inaonekana hata lengo la kupima HIV status hulielewi vizuri. rekebisha kauli au omba ushauri juu ya HIV status.
mi sio mjanja ila nina nia awe wangu maishani,sa bila kupima hatutapata watoto
 
Ilikua mwaka 2008 nilipokua mitaa ya nmb posta nikakutana na kimwana wa mwenge na tukajuana kama binadamu mana tulikua wote profassional moja,badae tukawa tunawasiliana na tukazoena.Alinitembelea kwangu na nlikua nakaa geto home ilikua kaskazini mwa tz,na mie geto Bagamoyo ani,yeye alitaka tufanye mapenzi,ila sikukubali,nikaumwa nikaenda kwake nikawa nimepona,na bado nikamwambia hatujuani tukapime sb mi nawe hatujuani historia zetu,akakataa tukaachana toka 2008 hadi juzi 2012 janipigia simu kua yupo morogoro nimfate ananihitaji,kwa vile aliniuguza nikaenda.kufika ikabidi nilale,sasa wakati tumelala akawa anasema nataka nikufundishe,yani hanipi japo sikihitaji maana bado msimamo ninao.Akawa anadai kua kama ukinitaka sku ingine,je unadhani ni kwa nini ananivuta kijanja na hataki kupima,naomba maoni yako ndugu




Swahili was used in this master, with that I have stayed abroad for a long time I am not yet well understood, although Kiswahili is my language, I wonder to see others you understand and contribute.
 
Dogo anasaundi kama mjanja mjanja huyu , sioni kama anaweza kuachia kitu kama hiyo imejipeleka yenyewe anataka support tu

Anataka tumpe moyo tu ameshakula mzigo tayari.....maana anataka tumuambie kama demu anajiamini so hana ukimwi au demu kashaupata
 
wavulana wengine wana akili za ajabu sana, mtu unatoka kwako,unafahamu yaliyowahi tokea huko nyuma....kinachoenda kukulaza kwake ni nini? si utafute walau hoteli au guest house maeneo ya jiraji ukakae hapo mkishamaliza mazungumzo....unajipumzikia unaondoka....huu ulelemama na upenda vyepesi wa wavulana na wanaume wengi utawagharimu sana....kuna tatizo katika malezi....uanaume umebaki kuzaliwa hivyo na si ki matendo na mienendo!

Hataki kupima kwasababu we kwake ni wa kupita....hakupendi anataka mbilimbi yako!


Michelle,kheri umempa ukweli,maana dogo inaonekana bado ananyonya.Huyu demu hampendi,anataka wadinyane tu,lakini dogo yeye kazimika anataka ndoa.Tafuta mwanamke mwingine ,huyu demu wako kicheche,toka 2008~2012,hamkua na mawasiliano unafikiri kacheza na wangapi ,na kwa nini akukumbuke sasa?

Hivi siku hizi hakuna jando,haya mambo hufundishwa jandoni,..
 
Back
Top Bottom