yani mimi ni Mwalimu wa shule za kata na yeye alikua msingi huko vikindu mkuranga sema kahamia Dar na nilipokutana nae kaniambia mi najiendeleza mzumbe na Duploma
kama unampenda na bado unatuuliza hautaki tumia akili yako kukimbia au kujikinga(ukiomba mungu asitoboe au isitoboke) basi ingia ukiupata si utajuta na kulia maishani kwa ujinga
wewe mtu ataki bado unatuuliza eti unampenda haya mpende na tumia akili kichwani
umeniuzi kwa kweli ushauri tukisema lala nae utaridhika na majibu????
muulize kwa nini hataki na mwambie live kuwa unamuacha kwa sababu hataki kupima. ukishindwa basi lala na juta mbele
n.b. kama angekuwa anakupenda na anajua hana angekimbilia kupima.....think
Kama hataki kupima anaiogopa damu yake basi achana nae,na bwana weye nadhani ulikua na mwengine kabla ya kukutana nae na baada ya kuachana nae ss leo karudi tena huoni kama analake jambo? weye mtu mzima bwana ebu kaa chini ufikiri kidogo jawabu utalipata.
nina wasiwasi na wewe haiwezekani toka 2008 had leo halafu unapigiwa simu unaenda nahisi wewe ndo uanze kwenda kwa dokta ndo uende na mwenzio manake there is something behind confusing your mind:cheer2:
Sumai ni kua Toka 2008 alikua hapatikani kwenye simu na sometimes nilikua namiss,mimi nipo tayari kupima sina tabu,yeye ndo nahofia mana kipindi kile alikataa tukatengana,na nimeenda maana aliniuguza
wavulana wengine wana akili za ajabu sana, mtu unatoka kwako,unafahamu yaliyowahi tokea huko nyuma....kinachoenda kukulaza kwake ni nini? si utafute walau hoteli au guest house maeneo ya jiraji ukakae hapo mkishamaliza mazungumzo....unajipumzikia unaondoka....huu ulelemama na upenda vyepesi wa wavulana na wanaume wengi utawagharimu sana....kuna tatizo katika malezi....uanaume umebaki kuzaliwa hivyo na si ki matendo na mienendo!
Hataki kupima kwasababu we kwake ni wa kupita....hakupendi anataka mbilimbi yako!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.