bbwaoy
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 466
- 464
Nime itwa na hawa jamaa kwa jina la Kp recruiters, kuna kazi niliomba Bank flani nadhani hawa Kp wao wana husika naku recruit wafanyakazi kisha kuwa kabidhi wafanyakazi hao kwenye makampuni mbalimbali.
Awali kabla ya kwenda kwenye interview nime ombea nitumie elfu 10 ( refundable kama ntafika kwenye interview na non- refundable kama sita fika).
Kwa Financial Manager _Jina wame nipa na Namba yake ya simu ambapo pesa ina takiwa kutumwa.
Nikisha tuma hela ntatumiwa form itakayo kua na maelekezo kadha wa kadha.
Mwenye kuni ushauri wowote kwa anae wafahamu hawa jamaa..
Japo sipendi sana hizi kazi zaku anza kuombana hela hata kama ni ndogo.
Asanteni. Natanguliza shukrani zangu za dhati kabisa!
Awali kabla ya kwenda kwenye interview nime ombea nitumie elfu 10 ( refundable kama ntafika kwenye interview na non- refundable kama sita fika).
Kwa Financial Manager _Jina wame nipa na Namba yake ya simu ambapo pesa ina takiwa kutumwa.
Nikisha tuma hela ntatumiwa form itakayo kua na maelekezo kadha wa kadha.
Mwenye kuni ushauri wowote kwa anae wafahamu hawa jamaa..
Japo sipendi sana hizi kazi zaku anza kuombana hela hata kama ni ndogo.
Asanteni. Natanguliza shukrani zangu za dhati kabisa!