Nilinusurika kuuvaa mkenge wa mume wa mtu

Nilinusurika kuuvaa mkenge wa mume wa mtu

Wachache wenye akili kama zako, hongera sana hakufukuza mke Ila kaenda kusalimia atarudi.
Akili wapi ni kamba tu anatupiga maana amesema alikuwa anataman kupata mtu wa kumuweka ndani kama ni hivyo unafikir akili na muda wa kuchunguza yote hayo angeipata wapi
 
Labda ndio uliipiga teke ndoa, haya mambo hayana fomula.
 
Akili wapi ni kamba tu anatupiga maana amesema alikuwa anataman kupata mtu wa kumuweka ndani kama ni hivyo unafikir akili na muda wa kuchunguza yote hayo angeipata wapi
Mkuu imeshatokea hiyo jamaa kasema hana mke wala watoto wa kusingiziwa, bila kujua kumbe kaka ya mfanyakazi mwenzangu, kaniomba nimsimdikize akachukue mzigo kwa kaka yake tumefika kule kila akiingiza funguo inagoma kuchungulia kuna funguo ndani akagonga tukafunguliwa, wakasalimiana pale mgeni akasema amekuja ghafla amemstukiza mr. naangalia ukutani picha ya ndoa ya yule yule jamaa ambaye kajidai hana mke, na picha ya watoto wawili, tukachukua huo mzigo tukaondoka sikusema kitu, ilikuwa ujumaa, jumapili tumeonana anasisitiza ndoa wazazi wanamsumbua anataka aoe haraka, sikumficha nikamweleza yote niliyoyaona kwake, alichojibu kumbe sister alikuja na wewe, nikamwambia katunze familia yako, hakuna mke wala hawara na huoni ndani, ikawa mwisho, hivyo kama amedanganya au kweli Mimi nimeamini.
 
Mkuu imeshatokea hiyo jamaa kasema hana mke wala watoto wa kusingiziwa, bila kujua kumbe kaka ya mfanyakazi mwenzangu, kaniomba nimsimdikize akachukue mzigo kwa kaka yake tumefika kule kila akiingiza funguo inagoma kuchungulia kuna funguo ndani akagonga tukafunguliwa, wakasalimiana pale mgeni akasema amekuja ghafla amemstukiza mr. naangalia ukutani picha ya ndoa ya yule yule jamaa ambaye kajidai hana mke, na picha ya watoto wawili, tukachukua huo mzigo tukaondoka sikusema kitu, ilikuwa ujumaa, jumapili tumeonana anasisitiza ndoa wazazi wanamsumbua anataka aoe haraka, sikumficha nikamweleza yote niliyoyaona kwake, alichojibu kumbe sister alikuja na wewe, nikamwambia katunze familia yako, hakuna mke wala hawara na huoni ndani, ikawa mwisho, hivyo kama amedanganya au kweli Mimi nimeamini.
Ni case chache sana inatokea mkuu ila ck hizi dada zetu wamekosa ubunifu wamekuwa na tamaa sana kwa hiyo uwezo wao wa kufikir kwa upana umepungua
 
ni mwanaume gani ambaye anajua ananguo za MKE/MWANAMKE ndani alafu akuruhusu tu uje chumbani kwake bila kuzitoa????
hakuna mahali alipoandika alimruhusu kuingia chumbani, au unafikiri kila mtu anaishi single room?
 
Bora wewe una akili, wangekuwa wale "wenzangu", wangetoa dyudyu na kutafuna pesa kama kawaida. Hizi ndizo akili wanawake wa zamani walipewa. Wa sasa shida tupu...
 
Hongera yako but mbona huwajibu wadau ..?

"Wanauliza Bikira bado ipo??? "
 
Mmhhhhh. Kuna kitu hakipo sawa hapa
 
Hongera yako but mbona huwajibu wadau ..?

"Wanauliza Bikira bado ipo??? "
aitoe wapi muandiko wake mwenyewe unaonekana wa kikubuhu!!
wanawake wenye ujasiri wa kukupekua ni makahaba tu!

ana bikra alafu anaujasiri wa kukagua chumba, hiyo aipo!
 
Umenikumbusha kitu😀 Nami nitotoa za kile kimeo humu mwangu!!

Afu ndani ya hii sms kuna matangazo 2: i-Bikira (ii)-unatafuta au sijaelewa?
 
Back
Top Bottom