Nilimtongoza kiutani uyu Dada, mara ya kwanza alikuwa mgum mgum mara akatiki mchiz nkabutua kushusha mzuka, sa tatizo mtt wa watu kaniganda anadai eti mi ndo mme wake eti nauku mi nlimtamani afu ananitishia nkimwacha atajiua na ataacha ujumbe, mi aninipa adi stress kwa sasa..