monaco
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 2,184
- 1,779
Wadauuuu
ni mimi mzee wa Monaco tena.....
poleni na majukumu,kuna tukio limetokea wiki chache zilizopita,kuna jamaa yangu tulikuwa nae tumepanga nyumba moja,tulikuwa vijana 3,tusiooa na 2 walikuwa wameoa,Bwana mmoja kiumri alikuwa ametuzidi,kweli alikuwa anatuheshimu sana,alikuwa na watoto 2,ni kama 37yrs hivi,wote sisi ni wafanyakazi,jamaa anafanya kampuni moja ya Mabati hapa Dar.mimi pia nipo kiwanda fulani,jamaa alikuwa anaingia shift Rotation,wenyekujua mambo ya shift wanaelewa,siku hiyo jamaa akawa anaingia saa 19:30 jioni mpaka saa 07:30 asubuhi,Huyu kijana mwenzangu age mate alikuwa anamla uroda mke wa huyu brother,na brother hakuwahi sio tu kujua bali hata kuhisi chochote,siku moja mimi nikamwambia jamaa yangu,acha kutembea na huyu dada,jamaa akijua haitakuwa picha nzuri hata kwangu,jamaa alikuwa anakataa kata kata,mtindo ulikuwa unaendelea,jamaa akiondoka tu jamaa huingia chumbani na kuanza kula uroda,siku nikamwambia kama hutaacha tabia hii,mi nahama,sitoweza kuvumilia aibu itakayo kuja hata kama hutaki kukubali.
Siku moja jamaa ameingia saa 19:30 jioni na kutoka 07:30 asubuhi,jamaa akaondoka,mimi nilikuwa kazini nahangaika na mimi,mimi nilitoka saa 11jioni,nikawa nimepumzika ndani,ilipofika saa 23:30 usiku nikaona jamaa anagonga mlango wangu,huwa ni kawaida yake kwa kuwa mimi ni mshikaji wake hunigongea na kumfungulia,kisha kwenda kwake chumba cha mbele,jamaa alivyonigongea tu muda huo nikanyanyuka kwenda kwanza kugonga kwa yule dada,nilipogonga akafungua mwanamke nikamwambia huo mchezo wenu utawafikisha pabaya,mumeo amerudi,mdada akaaanza kutetemeka na kumwambia mjamaaa wake atoke,walipomaliza kutoka nikaenda kumfungulia jamaa mlango akaenda kwake,kumbuka alitakiwa atoke asubuhi,akaja kidole kimekatika mfupa amejikata na machine ya kukatia bati,alipelekwa Muhimbili saa 20:30 usiku,akatibiwa,wakaona jeraha sio kubwa wakamruhusu aende nyumbani,ndipo alipokuja na kumfungulia,na ndio mkasa ulivokuwa,sikukaa muda nikahama ile nyumba,siku moja jamaa akasikia fununu kwa watu kuwa yule jamaa mwingine alikuwa anammega mkewe,akanipigia simu kwanini nilikuwa namficha siku zote hizo? Jamani wadau je mimi nina kosa hapo?mimi nilikuwa namwambia jamaa yetu mwingine aacha kamchezo hako.
ni mimi mzee wa Monaco tena.....
poleni na majukumu,kuna tukio limetokea wiki chache zilizopita,kuna jamaa yangu tulikuwa nae tumepanga nyumba moja,tulikuwa vijana 3,tusiooa na 2 walikuwa wameoa,Bwana mmoja kiumri alikuwa ametuzidi,kweli alikuwa anatuheshimu sana,alikuwa na watoto 2,ni kama 37yrs hivi,wote sisi ni wafanyakazi,jamaa anafanya kampuni moja ya Mabati hapa Dar.mimi pia nipo kiwanda fulani,jamaa alikuwa anaingia shift Rotation,wenyekujua mambo ya shift wanaelewa,siku hiyo jamaa akawa anaingia saa 19:30 jioni mpaka saa 07:30 asubuhi,Huyu kijana mwenzangu age mate alikuwa anamla uroda mke wa huyu brother,na brother hakuwahi sio tu kujua bali hata kuhisi chochote,siku moja mimi nikamwambia jamaa yangu,acha kutembea na huyu dada,jamaa akijua haitakuwa picha nzuri hata kwangu,jamaa alikuwa anakataa kata kata,mtindo ulikuwa unaendelea,jamaa akiondoka tu jamaa huingia chumbani na kuanza kula uroda,siku nikamwambia kama hutaacha tabia hii,mi nahama,sitoweza kuvumilia aibu itakayo kuja hata kama hutaki kukubali.
Siku moja jamaa ameingia saa 19:30 jioni na kutoka 07:30 asubuhi,jamaa akaondoka,mimi nilikuwa kazini nahangaika na mimi,mimi nilitoka saa 11jioni,nikawa nimepumzika ndani,ilipofika saa 23:30 usiku nikaona jamaa anagonga mlango wangu,huwa ni kawaida yake kwa kuwa mimi ni mshikaji wake hunigongea na kumfungulia,kisha kwenda kwake chumba cha mbele,jamaa alivyonigongea tu muda huo nikanyanyuka kwenda kwanza kugonga kwa yule dada,nilipogonga akafungua mwanamke nikamwambia huo mchezo wenu utawafikisha pabaya,mumeo amerudi,mdada akaaanza kutetemeka na kumwambia mjamaaa wake atoke,walipomaliza kutoka nikaenda kumfungulia jamaa mlango akaenda kwake,kumbuka alitakiwa atoke asubuhi,akaja kidole kimekatika mfupa amejikata na machine ya kukatia bati,alipelekwa Muhimbili saa 20:30 usiku,akatibiwa,wakaona jeraha sio kubwa wakamruhusu aende nyumbani,ndipo alipokuja na kumfungulia,na ndio mkasa ulivokuwa,sikukaa muda nikahama ile nyumba,siku moja jamaa akasikia fununu kwa watu kuwa yule jamaa mwingine alikuwa anammega mkewe,akanipigia simu kwanini nilikuwa namficha siku zote hizo? Jamani wadau je mimi nina kosa hapo?mimi nilikuwa namwambia jamaa yetu mwingine aacha kamchezo hako.