Sicario poison
JF-Expert Member
- Jan 1, 2021
- 2,327
- 4,574
The boss milango yako inaangalia mashariki Kama sijasahau
[emoji23][emoji23][emoji23]..Kwa nni umechelewa kutusimulia?tangu 2021?
Dah [emoji23][emoji23][emoji119]Hivi hi story imeisha kweli?
Mbona hasira, au wewe ndo miongoni mwa wale vijana waliotaka kumbaka?Nikajua uliruka makomfuu ya kihindi kama akshey... unajua wewe ni wakiume kuwa makini na hizo 'basi bwana' halafu usipende kuwashwawashwa kusimulia kila tukio hzo ni tabia za kike.
Mbona hasira, au wewe ndo miongoni mwa wale vijana w
Kuna vitabia havifai kwa mwanaume vinatia hasira wakwetuMbona hasira, au wewe ndo miongoni mwa wale vijana waliotaka kumbaka?
Vita vya maji maji ulisimuliwa 1905 ? Tuanze hapoTukio limetokea 2021, leo ndiyo unaliripoti. Wewe unabidi ukaisaidie polisi kwa kuhusika kwenye mtungo.
Anashukur kwa kutokea kwangu yale maeneo, maana balaa lingeendelea kwa wale jamaaNaungana na wajumbe wanaohisi stori bado inaendelea… Hadi leo anakushukuru kwa vp??
Ni kweli, Ila nasikia imevunjwa kwa mbele sikuizi maana nimetoka mda hukoThe boss milango yako inaangalia mashariki Kama sijasahau
Unataka mwandelezo wake ndugu? Au part two namna alivyonishukur huyo dada?Hivi hi story imeisha kweli?
itakuwa ndiyo tabiya zako izo mambo povu la nini sasa ungesoma ungepita ivi safi mbonaNikajua uliruka makomfuu ya kihindi kama akshey... unajua wewe ni wakiume kuwa makini na hizo 'basi bwana' halafu usipende kuwashwawashwa kusimulia kila tukio hzo ni tabia za kike.
Usela maviHao machalii itakuwa hawakuwa na kipururu sana,mbona wangemla mbele yako na huwafanyi kitu yoyote.
Kipi ujaelewa hapoMe sijakuelewa ulichoandika
EwaaaUnataka mwandelezo wake ndugu? Au part two namna alivyonishukur huyo dada?
[emoji23][emoji23][emoji23] kipi icho tenaNakata rufaa, kuna kipengele muhimu umeruka. [emoji23][emoji23]