Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,621
- 3,514
hata mimi huwa ninamshukuru kwa sababu akupendaye atakuamini tu bila ya kujali porojo za mtaani...........
Akupendaye atakupenda tu bila kujali porojo za mitaani asizoweza thibitisha, but kukuamini kunapungua, hata uwe unampenda mtu namna gani,taarifa unazopokea zisizopendeza zinapunguza imani.....pole sana,natumai umeshampata anayekuamini walau kwa kiasi.