masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,825
- 16,903
Duh leo mida ya saa 5 asubuhi nikasema nimeenda dukani kwa mangi ndo anatoka kanisani akasema umejuaje saaa kama nimefika nikamwambia nimehis tu.ki ukweli tangu nimehamia hapa ndo duka la kwanza kuanza kununua vitu nimcheshi alafu si unajuaga ile ya kuchukua chupa alafu unarundika siku nazirudisha zote.....so haniulizi wala nini mpaka nizikusanye baada ya wiki kadhaa.
ila si kwangu tu huyu majirani nawaona wote wanapapenda sana hapo dukani
to make story short mangi ni mtu mwenye roho nzuri sana lakini cha ajabu ana miaka kama 45 hivi (nilimuuliza) ila ajaoa
sasa leo nikaanzia hapo hapo alivyosema umejuaje ndo natoka kanisani ukaja
Mimi: (kwa utani) mangi unajua ungekua umeoa mke wako angeenda misa ya saa 12 alafu wewe ya saa 4 ili msifunge duka. .
huwaga namtaniaga sana oa mangi mkeo akufulie ....duuuh leo kanitolea uvivu
mangi: nina watoto wakubwa tu mmoja ana miaka 19 sasa hovi mwgine 14,nilioa na nilikua nampenda mke wangu nikaja nae dar nikampa mtaji wa vitenge awe anapeleka moshi akakutana na wenye nazo mimi akanioana sifai akaenda ukweni akasema sisimamishi.kimepanda kimeshuka sijui uwezo umeshuka kiukweli ilikua tu ni jinsi ya kuniacha
nilichofanya nilikamata mtoto mkaliii nikampiga msasa nikampangishia karibu na kwangu ila alikua mdogo kama BINTI yangu na mkali sana.....nilichofanya nilimpa MIMBA faster ilikuwaprove wrong alafu mke wangu hakuwa na habari nikaenda nae moshi ili amuone nikafunga ndoa ya mila.nikamuacha huko huko ili amuone kwanza..
Ila baadae nilingundua simpendi so alvyojifungua nikamuacha huko huko na baadae alijua simpendi kwa dhati so aliniacha ila mpaka navyoongea sina hamu na mke
Maana nikifikiria nilipomtoa yule mwanamke nahisi hakuna mapenzi ya dhati na isitoshe moyo umekufa ganzi,usinione nina furaha hivi ila nina mengi moyoni.
Mimi:mangi tuishie hapo na pole sana
KI UKWELI NILIPATA MASWALI MENGI SANA
ila si kwangu tu huyu majirani nawaona wote wanapapenda sana hapo dukani
to make story short mangi ni mtu mwenye roho nzuri sana lakini cha ajabu ana miaka kama 45 hivi (nilimuuliza) ila ajaoa
sasa leo nikaanzia hapo hapo alivyosema umejuaje ndo natoka kanisani ukaja
Mimi: (kwa utani) mangi unajua ungekua umeoa mke wako angeenda misa ya saa 12 alafu wewe ya saa 4 ili msifunge duka. .
huwaga namtaniaga sana oa mangi mkeo akufulie ....duuuh leo kanitolea uvivu
mangi: nina watoto wakubwa tu mmoja ana miaka 19 sasa hovi mwgine 14,nilioa na nilikua nampenda mke wangu nikaja nae dar nikampa mtaji wa vitenge awe anapeleka moshi akakutana na wenye nazo mimi akanioana sifai akaenda ukweni akasema sisimamishi.kimepanda kimeshuka sijui uwezo umeshuka kiukweli ilikua tu ni jinsi ya kuniacha
nilichofanya nilikamata mtoto mkaliii nikampiga msasa nikampangishia karibu na kwangu ila alikua mdogo kama BINTI yangu na mkali sana.....nilichofanya nilimpa MIMBA faster ilikuwaprove wrong alafu mke wangu hakuwa na habari nikaenda nae moshi ili amuone nikafunga ndoa ya mila.nikamuacha huko huko ili amuone kwanza..
Ila baadae nilingundua simpendi so alvyojifungua nikamuacha huko huko na baadae alijua simpendi kwa dhati so aliniacha ila mpaka navyoongea sina hamu na mke
Maana nikifikiria nilipomtoa yule mwanamke nahisi hakuna mapenzi ya dhati na isitoshe moyo umekufa ganzi,usinione nina furaha hivi ila nina mengi moyoni.
Mimi:mangi tuishie hapo na pole sana
KI UKWELI NILIPATA MASWALI MENGI SANA