Kamgomoli
JF-Expert Member
- May 3, 2018
- 1,865
- 3,800
Naweza sema Zahera katuachia msala mzito sn. Aliwakuta wachezaji wazuri akajifanya mjuaji,akaruhusu wachezaji wazuri kuondoka huku akituaminisha kuleta wachezaji kiboko yao. Wachezaji wenyew ndo hao akina Ali Ali, Ali Sonzo, Molinga nk. Nipo Iringa. Nilipata muda mwingi wa kumtazama Ali Sonzo alipokua Lipuli. Mechi nyingi za Lipuli alikua anatokea bechi. Mara chache sn ndo alianza.Ana umbo zuri lakin hana mpira mguuni. Muda wote anauogopa mpira na nilishangaa kuskia Yanga wamemsajili. Umbo la Sonso linawadanganya sn makocha hasa kutoka ulaya. Si Zahera peke ake hata Amonike aliingia chaka kwa Sonzo. Msitegemee Sonzo kubadilika ndo kiwango chake kimeishia hapo. Bahati mbaya Yanga kwa ss haiwezi badili chochote. Wasubiri msimu ujao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app