Winner80
Member
- Feb 9, 2021
- 20
- 19
Mara nyingi ninapo kaa chini, na kutafakari safari nzima ya maisha yangu,
kule Mungu alikonitoa, mpaka hapa aliponifikisha, naishiwa maneno ya kumshukuru.
Ndio maana hata sasa ninasema ya kwamba Yeye ni Eben-Ezer, nikimaanisha ya kuwa Mungu ndiye amenisaidia, kufika hatua hii niliyofikia.
Maneno ya kitabu cha Zaburi 119:17 yanayosema; "Ilikuwa vema kwangu kuwa naliteswa, ili nipate kujifunza amri za Mungu” yanaelezea sana ushuhuda mzima wa maisha yangu.
Magumu, shida na mahangaiko yote niliyopitia vimetumika kama daraja la kunivuta karibu sana na Mungu.
Zaidi ya mimi binafsi kuokolewa, ninaamini ushuhuda wa maisha yangu unaniweka kwenye nafasi ya kuwa msaada kwa wengi walio katika changamoto kama nilizopitia mimi.
kule Mungu alikonitoa, mpaka hapa aliponifikisha, naishiwa maneno ya kumshukuru.
Ndio maana hata sasa ninasema ya kwamba Yeye ni Eben-Ezer, nikimaanisha ya kuwa Mungu ndiye amenisaidia, kufika hatua hii niliyofikia.
Maneno ya kitabu cha Zaburi 119:17 yanayosema; "Ilikuwa vema kwangu kuwa naliteswa, ili nipate kujifunza amri za Mungu” yanaelezea sana ushuhuda mzima wa maisha yangu.
Magumu, shida na mahangaiko yote niliyopitia vimetumika kama daraja la kunivuta karibu sana na Mungu.
Zaidi ya mimi binafsi kuokolewa, ninaamini ushuhuda wa maisha yangu unaniweka kwenye nafasi ya kuwa msaada kwa wengi walio katika changamoto kama nilizopitia mimi.
Tigo Pesa
M-PESA 0767 879406 
