Lyamber
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 11,716
- 18,753
Hahaha hapo safi naona unahama kwa kasi sana mzee ni hizo hizo 1NZ hio DRC?Niulize bas kwani ninayo sasa mpaka Leo? Sasa Nina DRC
Hahaha hapo safi naona unahama kwa kasi sana mzee ni hizo hizo 1NZ hio DRC?Niulize bas kwani ninayo sasa mpaka Leo? Sasa Nina DRC
Kwenye gari kuna Comfortability, Style, Perfomance na Fuel economy lazima usacrifice kimoja...Ninayo lakini hazifiki huko mzee...mambo ya kuweka mafuta ya elfu 40 ndio taa ya gauge izime nan anayataka
Hahah tulia mzee 1Nz unazungumzia 1490 ujue...ile ilikuwa 2sz 1290Hahaha hapo safi naona unahama kwa kasi sana mzee ni hizo hizo 1NZ hio DRC?
Kweli aisee ,umeongea point...Kwenye gari kuna Comfortability, Style, Perfomance na Fuel economy lazima usacrifice kimoja...
Hahahaha daaah hapo mzee ligi barabarani inabidi uwe mpole mpole sana...haswa ya masafa marefu..Altezza ,Brevis, Crown zikiomba site tu unakua mpole...afadhali hapo 2AZ unaweza taka ligi ila hata hapo 2AZ wese si la maana linaendaHahah tulia mzee 1Nz unazungumzia 1490 ujue...ile ilikuwa 2sz 1290
Hii ya sasa ni 2az
4 cylinder mzee baba...Hahahaha daaah hapo mzee ligi barabarani inabidi uwe mpole mpole sana...haswa ya masafa marefu..Altezza ,Brevis, Crown zikiomba site tu unakua mpole...afadhali hapo 2AZ unaweza taka ligi ila hata hapo 2AZ wese si la maana linaenda
hizo ni anasa sasaTatizo ukiweka wese jingi kila mara roho inakuambia oya toka..uko bored..unaweza nyoosha mguu hata km70!mradi enjoyment!dah..km watoto wananyoaga salun ya jirani utataka uwapeleke salun mjini!
Bila shaka hilo ni Landcruiser V8 kama hadi humo unasukuma ni hatari nadhani hakuna kuweka 15,000 humo ni mwendo wa kuanzia 100,000 na kuendelea4 cylinder mzee baba...
Ila sometimes nakuwaga na Uzj kitu cha 4600cc cylinder ngap hapo......jaza mwenyewe nadhan ushajua ni gar gan...na vile hamnaga bas ni kupangua gears tu mpaka ziishe
Anko magu anawekaga kule gpsaBila shaka hilo ni Landcruiser V8 kama hadi humo unasukuma ni hatari nadhani hakuna kuweka 15,000 humo ni mwendo wa kuanzia 100,000 na kuendelea
V8 hata 30,000 unaweka in case of emergency inakufikisha kule uendakoBila shaka hilo ni Landcruiser V8 kama hadi humo unasukuma ni hatari nadhani hakuna kuweka 15,000 humo ni mwendo wa kuanzia 100,000 na kuendelea
hahaha ndio anasa zenyewe hizo sasa, hivi kwanza hamchokagi kukaa nyuma ya usukani?kweli kabisa mkuu.
Yani ule mshale unashawishi sana.
Kuna siku nilikuwa na full tank toyota runx hiyo.
Nilenda mjini na familia km 15 kununua mahitaji ya home.
Baada ya kurudi home wife akaniambia tumesahau katoni ya chumvi.
Nikamwambia shusheni mizigo naenda kuchukua.
Wakati duka la jirani kwa chumvi tu ni bei sawa na huko town.
Duh huyo jamaa katisha 15km kufwata chumvi tuhahaha ndio anasa zenyewe hizo sasa, hivi kwanza hamchokagi kukaa nyuma ya usukani?
pole financial services, mwaka umeisha huu tayari lakini.Hahaaa, mi nimeshika adabu 2 times yani
Sijakusoma nyuma ya usukani ndio wapi mkuu?hahaha ndio anasa zenyewe hizo sasa, hivi kwanza hamchokagi kukaa nyuma ya usukani?
itakua bado anahamu ya kuendesha gari muda woteDuh huyo jamaa katisha 15km kufwata chumvi tu
Thank you Mr Miller, ndo hivyo mwaka ushaisha inabidi kujipanga na mwakani atleast adabu isishikwe tenapole financial services, mwaka umeisha huu tayari lakini.
nyuma ya steering chiefSijakusoma nyuma ya usukani ndio wapi mkuu?
sawa sawaThank you Mr Miller, ndo hivyo mwaka ushaisha inabidi kujipanga na mwakani atleast adabu isishikwe tena
Umerudia yaleyale.nyuma ya steering chief