Nilikunywa maji ya kutawazia!

Nilikunywa maji ya kutawazia!

Joined
Feb 27, 2013
Posts
46
Reaction score
3
kwa mala ya kwanza kufika town kwa rafiki wa #Baba {mungu amrehemu} nikaomba kwenda chooni kuingia tu kwanza nika vua gulubasi jinsi marumaru inavo ng'aa choo kina nukia vizuri baada ya kukojoa ktk lile cnk hata ckujua kama kuna kumwaga maji wala kuflash kwa kuvuta ile kamba me nime zoe choo cha ku risasi pemben kulikua na ndoo ya blue imejaa maji masafiiii juu yake kuna kijibomba kifupi afu kombe kubwa lina elea juu nilikua na kiu toka njiani nika piga kombe 1 la ushindi hua ni kikumbuka huwa na fyonza tu!
 
malaya kwanza kufika town kwa rafiki wa #Baba {mungu amrehemu} nikaomba kwenda chooni kuingia tu kwanza nika vua gulubasi jinsi marumaru inavo ng'aa choo kina nukia vizuri baada ya kukojoa ktk lile cnk hata ckujua kama kuna kumwaga maji wala kuflash kwa kuvuta ile kamba me nime zoe choo cha ku risasi pemben kulikua na ndoo ya blue imejaa maji masafiiii juu yake kuna kijibomba kifu afu kombe kubwa lina elea nilikua na kiu toka njian nika piga kumbe 1 la ushnd n kkumbuka huwa na fyonza tu!
Hapo kwenye bold ndio nini?
 
kwa mala ya kwanza kufika town kwa rafiki wa #Baba {mungu amrehemu} nikaomba kwenda chooni kuingia tu kwanza nika vua gulubasi jinsi marumaru inavo ng'aa choo kina nukia vizuri baada ya kukojoa ktk lile cnk hata ckujua kama kuna kumwaga maji wala kuflash kwa kuvuta ile kamba me nime zoe choo cha ku risasi pemben kulikua na ndoo ya blue imejaa maji masafiiii juu yake kuna kijibomba kifu afu kombe kubwa lina elea nilikua na kiu toka njian nika piga kumbe 1 la ushnd n kkumbuka huwa na fyonza tu!

Hiki ni kiswahili au? Kweli elimu yetu iko mochwari
 
Huo mwandiko sijui kwenye karatasi unakuwaje
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom