BIG BROTHER ALEX
JF-Expert Member
- Sep 24, 2025
- 1,293
- 2,214
Tulia mbuzi meeeh wewe mwanaharamu unaetukuza shetani kwa kuumpa jina la Mungu.Usikubali unaenda kutapeliwa
AiseeKaka usilete siasa hapa na udini hapa tunajadili jambo neutral bila kuwa upande wowote, mbona Kuna WAPALESTINA ni WA Israel?
Globalize the Intifada inakutia kiwewe wakati wewe nyani pua kubwa nywele kipilipili unajifanya mgalatia konkiTulia mbuzi meeeh wewe mwanaharamu unaetukuza shetani kwa kuumpa jina la Mungu.
Unaetukuza dini inayohimizA vifo na uharibifu.
Unadhani hakuna waisrael waislam au wakristo?Baada ya juzi kupitia mtandaoni, nikaona WAPALESTINA wakristo wakijiandaa na sherehe za xmass nika shangaa hii kumbe Kuna WAPALESTINA wakristo, swali wanaishije na waislamu au wanaishi Israel?
Sijaiamini hio habari, ikabidi nikimbie chatgpt ambako HUKO ndo nikaeleweshwa wapo japo ni wachache sana ila wapo kwani eneo la bethlem ndipo alipo zaliwa yesu miaka hiyo kabla ya uislamu haujaanza kuwepo, na eneo Hilo lilikua palestina ya miaka hiyoAisee
Wanakupanga hao, unaenda kuingizwa chaka
Mkuu nilikua SIJUI kumbe Hadi wapo waisrael ni waislamuUnadhani hakuna waisrael waislam au wakristo?
Sijui nini cha ajabu;Baada ya juzi kupitia mtandaoni, nikaona WAPALESTINA wakristo wakijiandaa na sherehe za xmass nika shangaa hii kumbe Kuna WAPALESTINA wakristo, swali wanaishije na waislamu au wanaishi Israel?
Dah juzi tena mtandaoni niliona jamaa akichezea kichapo Israel nikashangaa wanadai eti ni MKRISTO, Sasa kama waisrael baadhi hawaamini katika kristo Benjamin netanyahu vifungu vya biblia anavo tumia Huwa ana tumia biblia Gani?Sijui nini cha ajabu;
Mbona Waisrael ambao ni Waislam ni wengi kuliko Waisrael wakristo; Kule Israel ukijipeleka na habari sijui za Yesu ni Mungu wanakutoa baru....
KIONGOZI, ISRAEL HAKUNA WAKRISTODah juzi tena mtandaoni niliona jamaa akichezea kichapo Israel nikashangaa wanadai eti ni MKRISTO, Sasa kama waisrael baadhi hawaamini katika kristo Benjamin netanyahu vifungu vya biblia anavo tumia Huwa ana tumia biblia Gani?
Nilikua najiuliza Benjamin netanyahu hi o vifungu vya biblia Huwa anatolea kwenye biblia Gani kama nchi yake haiamni kwenye ukristoKIONGOZI, ISRAEL HAKUNA WAKRISTO
WALIOPO HAWAFIKI HATA 2% SASA HAPO UTASEMA KUNA WAKRISTO?
Nilikua najiuliza Benjamin netanyahu hi o vifungu vya biblia Huwa anatolea kwenye biblia Gani kama nchi yake haiamni kwenye ukristo
Ndio mana juzi Israel Kuna MKRISTO kachezea mwano utazani mwizi, nilishangaa sana dahYule msanii tu, ameshajua kondoo wengi ni mbumbumbu hivyo wanafikiri Waisrael ni wakristo hivyo ili kupata support yao, anaingia tu kwa google chap anacopy mistari michacjhe ya kuzugia akiitwa kwa interview.....
Ila ukweli Wakristo pale ni chini ya 2%
KABISA, hio vita sio ya kuingilia kichwa kichwaUlikuwa nyumanyuma kama mfuko wa koti ila hongera sasa umekaa mbele.