UngaUnga
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 1,724
- 1,463
Muumba wa mbingu na nchi na awe nanyi.
Nyumba za marehemu baba yangu(zote ziko eneo 1 ziko tatu) tumebahatika kuzaliwa wawili mimi m** na dada joy alieolewa ana maisha yake.
Ziko airport, nilikataa offer ya kwanza kwenye hatua ya kwanza ya mediation, yatupaswa twende the second step- arbitriation nadhani watu wa sheria wanajua. niko opp. term 3(new) kama uko interested inbox your number.
Nyumba za marehemu baba yangu(zote ziko eneo 1 ziko tatu) tumebahatika kuzaliwa wawili mimi m** na dada joy alieolewa ana maisha yake.
Ziko airport, nilikataa offer ya kwanza kwenye hatua ya kwanza ya mediation, yatupaswa twende the second step- arbitriation nadhani watu wa sheria wanajua. niko opp. term 3(new) kama uko interested inbox your number.