Zeddicus
JF-Expert Member
- May 5, 2012
- 627
- 537
Nimezoeana sana na huyu mwanamke nimempenda sana,naye kumbe alikua akinipenda ever since tumeanza kuzoeana, because i am kinda charm and so caring and i know this,nimeingia kwenye relation nae bila hata ya kumtongoza mazoea yalizid kiasi cha kuanza love realationship,Recently kaniambia yeye ni mke wa mtu na ana mtoto mmoja wa umri kama miaka mitatu hivi..Dah nilichoka kwan nimempenda huyu mwanamke balaa.Daily amekua akiniambia mumewe hamjali wala kumthamini like he used to do before he married her, much less hamridhishi on bed.Nashukuru Mungu sijazini nae ila before sijajua kua ni mke wa mtu nishafanya nae foreplay(romance) mpaka nikamfikisha kileleni without penetration ya dushelele yangu,nafanya process ya kuachana nae ingawa najua ni vigumu kwangu hata kwake pia kwa haya mapenzi tuliyooneshana kwa muda mfupi.
My take:Wanaume mliooa wathamini wake zenu muwajali kama mlivyokua mnawajali kabla ya kuwaoa,vinginevyo ni rahisi sana for them to cheat on you.
My take:Wanaume mliooa wathamini wake zenu muwajali kama mlivyokua mnawajali kabla ya kuwaoa,vinginevyo ni rahisi sana for them to cheat on you.