Nilikaa na uchungu kwa siku 3, siku ya nne miguu ikawekwa kwenye maji ya kuchemka

chinchilla coat

JF-Expert Member
May 16, 2016
5,107
10,969
Ukatili wa kijinsia bado upo licha ya kuwepo kwa mashirika ya kutetea haki za watoto, mtoto huyu aliolewa katika umri mdogo kisha mume wake kumfanyia ukatili wa kijinsia iliyomsababishia kupata matatizo makubwa.

Huko Mpanda huko Geita, alilazimishwa kuolewa akiwa na umri wa miaka 15 kwa ng’ombe 5 kutoakana na umasikini, maisha yalisonga akapata ujauzito akakaa na uchungu kwa siku 3 na siku ya nne wakati mtoto anaanza kutoka miguu ikawekwa kwenye maji ya moto ili ajifungue.
 
those pains though, mie masaa tu najiona kama mwehu duh. pole bibie
 
Mayoooo siku 3?!mi nilipita uchungu an, IA 5 usiku mpaka 7.mchana hakuna tusi siku tukana
 
wanawake siwaelewagi kabisa, kule arusha mama mtu alikua anamnywesha mtoto damu ya hedhi, yule dogo akaoza utumbo
 
Back
Top Bottom