Same hapa ni self taught programmer, nilianza na python, nikaja php, nikapga java, nimejifanyia projects akdhaa. CSS na HTML nilisoma mwenyewe kitambo sana nikwia kitado cha pili. Sema my journey ain't over maana ninakosa muda ila kuna jambo ninataka kulifanya nadhani nikilifanya litanipa faida sana sema ndo sina muda wa kutosha.Nilijifunza matumizi ya internet kwanza
Nikatumia muda mwingi kujifunza mambo mengi ya namna ya kunufaika mtandaoni
Nikaona habar ya kumiliki website, kununua sina uwezo nikajifunza html kama week 4 nikachoka nikaaacha
Nikaona kuna suala la kununua hosting siliwez
Nikahamia c nikajifunza sana
Nikaona implementation yake ni ngumu
Kila kitu hapo juu nilikuwa na soma theory
Nilivyo pata kuwa na kompyuta nikaanza na java
Kuna YouTube channel moja inaitwa freevodecamp niliangalia sana tutorial zao zile ndefu ndefu nilitumia gharama kubwa sana kwenye kununua bando.
Nilitumia muda mwingi nikiangalia tutorial zile code anazo kuwa anaziandika mfundishaji kwenye computer yake nakuwa naziandika kwenye daftari zote daftari likijaa na pause video naenda kununua lingine nikimaliza naingia kwenye IDE mara yakwanza zilikuwa hazileti majibu mara siku moja majibu yakaja kama ya mfundishaji nikafurahi sana
Tangu siku hiyo nikaacha kuandika nikawa nafungua IDE na video kwa pamona nakuwa na practice
Nikaacha kuangalia video
Nikatafuta website
Moja inaitwa geekforgeeks.com,javatpoint.com, w3school.com
Nikaja kugundua kumbe programming sio peke yangu ninaye pitia changamoto yaan bugs kumbe kuna sehemu watu wanna share matatizo yao na yana jibiwa na walio tangulia site hiyo inaitwa stackoverflow.com ni site maarufu self taught yoyote lazima anaifahamu na hata ambaye sio self taught
Nikapata ujasiri hadi wa ku edit full project ya mtu naifanya ninavyo taka
Yaan naweza chukua source code nikatengeneza products nyingi kutoka kwenye hiyo
Baada ya hapo nikawa na uwezo wa kufikilia na kutenge eza program kama niliyo waza
Baada ya hapo nikawa na uwezo huu wa kuangalia au kusikiliza tatizo la mtu na kutengeneza kwa kadri anavyo taka
Vipi kuhusu android appsNilijifunza matumizi ya internet kwanza
Nikatumia muda mwingi kujifunza mambo mengi ya namna ya kunufaika mtandaoni
Nikaona habar ya kumiliki website, kununua sina uwezo nikajifunza html kama week 4 nikachoka nikaaacha
Nikaona kuna suala la kununua hosting siliwez
Nikahamia c nikajifunza sana
Nikaona implementation yake ni ngumu
Kila kitu hapo juu nilikuwa na soma theory
Nilivyo pata kuwa na kompyuta nikaanza na java
Kuna YouTube channel moja inaitwa freevodecamp niliangalia sana tutorial zao zile ndefu ndefu nilitumia gharama kubwa sana kwenye kununua bando.
Nilitumia muda mwingi nikiangalia tutorial zile code anazo kuwa anaziandika mfundishaji kwenye computer yake nakuwa naziandika kwenye daftari zote daftari likijaa na pause video naenda kununua lingine nikimaliza naingia kwenye IDE mara yakwanza zilikuwa hazileti majibu mara siku moja majibu yakaja kama ya mfundishaji nikafurahi sana
Tangu siku hiyo nikaacha kuandika nikawa nafungua IDE na video kwa pamona nakuwa na practice
Nikaacha kuangalia video
Nikatafuta website
Moja inaitwa geekforgeeks.com,javatpoint.com, w3school.com
Nikaja kugundua kumbe programming sio peke yangu ninaye pitia changamoto yaan bugs kumbe kuna sehemu watu wanna share matatizo yao na yana jibiwa na walio tangulia site hiyo inaitwa stackoverflow.com ni site maarufu self taught yoyote lazima anaifahamu na hata ambaye sio self taught
Nikapata ujasiri hadi wa ku edit full project ya mtu naifanya ninavyo taka
Yaan naweza chukua source code nikatengeneza products nyingi kutoka kwenye hiyo
Baada ya hapo nikawa na uwezo wa kufikilia na kutenge eza program kama niliyo waza
Baada ya hapo nikawa na uwezo huu wa kuangalia au kusikiliza tatizo la mtu na kutengeneza kwa kadri anavyo taka
You code according to what is in your brain! Una skills za coding of which is good! Lakini ukitaka kutengeneza kitu kikubwa cha kutatua changamoto za jamii lazima uende shule angalau Degree! Hii ni kwasababu kama huna kiwango hicho cha elimu changamoto zinazozikumba jamii huwezi kuziona kwasababu ziko juu ya ufahamu wako na huwezi kufanya impressive presentation kwa wadau wasomi wenye hela ili wakupe mkono wa shirika! Kwa nilivyokuona una skills nzuri za coding but you lack knowledge (maarifa) ya kubadilisha coding skills of yours kuwa hela.
Sio lazima hata certificate ni nzuri kwenye iyo field experience matterNi lazima degree afike unaposema? kivipi? hakuna mengine kweli hata courses.. tena short one kulenga kitu? je hana degree kabisa?
nami najifunza ndio nauliza
Sio kweli mzee nchi zilizoendelea vijana wanasoma coding as coding tu hayo madegree ni bongo tu alafu hii nchi sijui inatatizo gani kwamba kila mtu lazima awe na degree ndio aajiriwe na sio ujuzi.You code according to what is in your brain! Una skills za coding of which is good! Lakini ukitaka kutengeneza kitu kikubwa cha kutatua changamoto za jamii lazima uende shule angalau Degree! Hii ni kwasababu kama huna kiwango hicho cha elimu changamoto zinazozikumba jamii huwezi kuziona kwasababu ziko juu ya ufahamu wako na huwezi kufanya impressive presentation kwa wadau wasomi wenye hela ili wakupe mkono wa shirika! Kwa nilivyokuona una skills nzuri za coding but you lack knowledge (maarifa) ya kubadilisha coding skills of yours kuwa hela.
Uko sahihSio kweli mzee nchi zilizoendelea vijana wanasoma coding as coding tu hayo madegree ni bongo tu alafu hii nchi sijui inatatizo gani kwamba kila mtu lazima awe na degree ndio aajiriwe na sio ujuzi.
0682329852Natamani kujifunza hii kitu ilasijui naanzaje