Hata usipotumia dawa USAFI ndo kila kitu
Hakikisha maliwato pako safi muda wote na uwe unasafisha kwa dawa na maji ya kutosha
Vyombo viwe safi na katka hali ya ukavu...tupa taka mbali na epuka mabaki ya vyakula mezani,jikoni kwenye fridge na kabatini na tumia dawa ikibidi
Mende wanaudhi sana