barnabas masoko
JF-Expert Member
- Aug 8, 2016
- 1,299
- 660
Basi katika fatilia cheti cha kuzaliwa cha mwanangu nilichokiona kilinistua sana mpaka nikaamua Fanya uchunguzi usio rasmi katika ofisi za Rita mbeya.
Nikiwa nasubiliankukabidhiwa cheti change,ghafla anaingia Dada mmoja akiwa kabeba mtoto asiezidi hata Mwaka,
Anauliza taratibu za kupata cheti cha mwanae,anaelekezwa kuwa cheti cha kichanga hicho ni bure aende kwenye hospital au kituo chochote cha wazazi atapewa ila abebe na kadi za kliniki za mtoto.
Anapumua kwa nguvu kisha anasema aisee naomba tu nisaidie unipatie.anakataliwa kisha anatoka nje nikiwa natoka nikamkuta nje,akaanza kuniuliza maswali ambayo yakafanya nimbaini kuwa alikuwa na nia ovu.
Nilichogundua toka kwa Dada yule ni kuwa mwanae ana baba zaidi ya mmoja.na pale kuna baba alishaona Nina la kichanga na sasa anatafutiwa baba mwingine nae cheti.nilimuuliza una kadi ya kliniki akasema hana.hospital kadi hawakukupa jibu nimepoteza
Kengele ya hatari ikalia nikambana zaidi akafunguka kwa kuwa nilimuaid kumsaidia ili aniambie ukweli.baada ya kumbain nikamwambia nikujute hapo kisha nikachapa raba
Nikiwa nasubiliankukabidhiwa cheti change,ghafla anaingia Dada mmoja akiwa kabeba mtoto asiezidi hata Mwaka,
Anauliza taratibu za kupata cheti cha mwanae,anaelekezwa kuwa cheti cha kichanga hicho ni bure aende kwenye hospital au kituo chochote cha wazazi atapewa ila abebe na kadi za kliniki za mtoto.
Anapumua kwa nguvu kisha anasema aisee naomba tu nisaidie unipatie.anakataliwa kisha anatoka nje nikiwa natoka nikamkuta nje,akaanza kuniuliza maswali ambayo yakafanya nimbaini kuwa alikuwa na nia ovu.
Nilichogundua toka kwa Dada yule ni kuwa mwanae ana baba zaidi ya mmoja.na pale kuna baba alishaona Nina la kichanga na sasa anatafutiwa baba mwingine nae cheti.nilimuuliza una kadi ya kliniki akasema hana.hospital kadi hawakukupa jibu nimepoteza
Kengele ya hatari ikalia nikambana zaidi akafunguka kwa kuwa nilimuaid kumsaidia ili aniambie ukweli.baada ya kumbain nikamwambia nikujute hapo kisha nikachapa raba