Nilichojifunza kuhusu kilimo cha tikiti

Jenseny

JF-Expert Member
Jan 26, 2011
1,743
1,732
Nikiwa mkulima mchanga wa tikiti nimejifunza vitu vingi ambavyo naona leo si vibaya nikashare kwenu

1.Uchawi

amini usiamini uchawi upo kwenye kilimo nimeamini hivyo baaada ya wakulima wenzangu kama wanne kunihadithia jinsi walivyopata hasara kwa kudharau kulinda shamba au kutumia dawa ya kupandia

sijawahi kuroga lakini kwa sababu nimeinvest hela kubwa nlienda kwa mganga kwa mara ya kwanza ili hela yangu irudi ikibid hata na faida

Shamba
nlilipa hela ya heka nne lakini juzi amekuja bwana shamba kunitembelea akanishauri kabla sijalipia shamba nilipime na kweli tulipopima ikatoka heka 3 na robo
nlijifunza kitu kikubwa sana kuhusu umuhimu wa kupima shamba

Wafanyakazi

Kama utalimia maeneo ya pwani usiajiri wazaramo au watu wa pwani/wenyeji tafuta wasukuma waha wanyalu au watu wa mikoa ya kaskazini nimeajiri wazaramo wawili na wasukuma wawili yaani wazaramo ni wavivu kuliko maelezo kila mara wanaumwa siku ukienda bila kuwataarifu huwakuti

Mbolea ya samadi ni bora lakini ina wadudu wengi wanaoshbulia mazao au mnyauko

upande mmoja ambao nimeweka mbolea nyingi ya samadi mazao yamenyauka sana kuliko nlipo weka mbolea kiasi
 
Nikiwa mkulima mchanga wa tikiti nimejifunza vitu vingi ambavyo naona leo si vibaya nikashare kwenu

1.Uchawi

amini usiamini uchawi upo kwenye kilimo nimeamini hivyo baaada ya wakulima wenzangu kama wanne kunihadithia jinsi walivyopata hasara kwa kudharau kulinda shamba au kutumia dawa ya kupandia

sijawahi kuroga lakini kwa sababu nimeinvest hela kubwa nlienda kwa mganga kwa mara ya kwanza ili hela yangu irudi ikibid hata na faida

Shamba
nlilipa hela ya heka nne lakini juzi amekuja bwana shamba kunitembelea akanishauri kabla sijalipia shamba nilipime na kweli tulipopima ikatoka heka 3 na robo
nlijifunza kitu kikubwa sana kuhusu umuhimu wa kupima shamba

Wafanyakazi

Kama utalimia maeneo ya pwani usiajiri wazaramo au watu wa pwani/wenyeji tafuta wasukuma waha wanyalu au watu wa mikoa ya kaskazini nimeajiri wazaramo wawili na wasukuma wawili yaani wazaramo ni wavivu kuliko maelezo kila mara wanaumwa siku ukienda bila kuwataarifu huwakuti

Mbolea ya samadi ni bora lakini ina wadudu wengi wanaoshbulia mazao au mnyauko

upande mmoja ambao nimeweka mbolea nyingi ya samadi mazao yamenyauka sana kuliko nlipo weka mbolea kiasi

MKUU,
NINA OMBI,

HAPO KWENYE KUTOAJIRI WAZARAMO UKIWA KWENYE ARDHI YAO HAPO NAOMBA UBOLD KABISA HAPO MKUU,

NAKUOMBA SANA MKUU!!!
 
Na wish nije nifanye kilimo hko ilo hapo kwa kwenda kwa witchdoctor pagumu siwez.
 
amini usiamini uchawi upo kwenye kilimo nimeamini hivyo baaada ya wakulima wenzangu kama wanne kunihadithia jinsi walivyopata hasara kwa kudharau kulinda shamba au kutumia dawa ya kupandia

sijawahi kuroga lakini kwa sababu nimeinvest hela kubwa nlienda kwa mganga kwa mara ya kwanza ili hela yangu irudi ikibid hata na faida
Wewe unapotea kabisa, hivi utapata faida gani kwa kutegemea "uchawi" kwa waganga wa kienyeji na kupoteza roho yako?? Hivi pesa na roho yako kipi chenye thamani???
 
kuna muda yatahitaji maji yakutosha hapo kama wimbo jua umefika kwenye korasi na ndipo utakapojua kwanini limeitwa tikiti maji!.. kama kuna mvua shukuru.. kila kitu kina shida na raha zake nakushauri usikose mtaalam wa kukushauri(kumbuka kuuchakata huo ushauri) na uyafatilie hatua kwa hatua.
 
Wewe unapotea kabisa, hivi utapata faida gani kwa kutegemea "uchawi" kwa waganga wa kienyeji na kupoteza roho yako?? Hivi pesa na roho yako kipi chenye thamani???
roho? soma vizur hakuna seh nimesema nimepoteza roho
 
kuna muda yatahitaji maji yakutosha hapo kama wimbo jua umefika kwenye korasi na ndipo utakapojua kwanini limeitwa tikiti maji!.. kama kuna mvua shukuru.. kila kitu kina shida na raha zake nakushauri usikose mtaalam wa kukushauri(kumbuka kuuchakata huo ushauri) na uyafatilie hatua kwa hatua.
huo muda mnaosema unahitaji maji mengi mimi sitahitaji wayaweke maji mengi asubuh na jioni kama wengine wanavyofanya ukifanya hivyo una dumaza tunda
 
huo muda mnaosema unahitaji maji mengi mimi sitahitaji wayaweke maji mengi asubuh na jioni kama wengine wanavyofanya ukifanya hivyo una dumaza tunda
hakuna haja ya asubuhi na jioni,mara nyingi ni kuyapatia maji asubuhi ya kutosha
 
roho? hebu nieleweshe tena kaka ila kama unaenda kqa mganga anakusaidia kulikinga shamba lako na wachawi unapotezaje roho
 
Apo kwenye wazaramo na watu wa pwani hujakosea ,wana maneno mengi mpaka unaona ela hii apa kesho unaingia,utendaji sifuri ,kutwa kupiga simu vizinga haviishi
 
shambani ndumba
sokoni ndumba
kwa street vendor ndumba
bado mkeo hapo hajakufanyia kitu
Huenda ndio maana limekuwa taifa la vichaa eenh!
Maana kuna kale kautafiti kalitangulia kusema kuwa wengi ni vichaa ila vinapishana tu!
 
Kama hayajakukuta bora usidhihaki mleta mada, upige kimya tu.

Kilomo nakijua kidogo challenge yake, hongera mkuu.

Mwisho hamna kitu unaona kizuri ukadhani kinaelea tu, ni sawa na ule msemo “mti wenye matunda...ndio hupigwa mawe” kama sijakosea.
 
Kama hayajakukuta bora usidhihaki mleta mada, upige kimya tu.

Kilomo nakijua kidogo challenge yake, hongera mkuu.

Mwisho hamna kitu unaona kizuri ukadhani kinaelea tu, ni sawa na ule msemo “mti wenye matunda...ndio hupigwa mawe” kama sijakosea.
achana nao hao wengi wa opposers Jf wanaishi kwa shemeji yaani niweke mill 5 seh alaf niogope kuloga kwash 20000 kama dhambi mbona tunafanya nyingi tu kikubwa kabla hujakula kitu kiombeee
 
1. Kuwa tayari kwa matokeo
2. Shamba
3. Wafanyakazi
4. Samadi
Haya mambo ya uchawi umeliwa tu tangu akili yako ilipokuwa inaamini hivyo. Na sasa umepata kitu cha kukuongezea kujiamini basi kila kitu wewe unaona kidogo, kumbe ni kukubaliana na Kadiri ya Mungu tu...!
 
hv kumbe watu mnaamin ushirikina kwa kias hiki??? Mungu wangu....!mm mwenyewe tikit nalijua ndan nje ila kuamin ushirikina daH!haya pole
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom