Nilichogundua ni hiki

Hapo unakuwa umefaham au kujua kabila lake, nadhani kiswahili labda kina maneno machache kwasababu kwa wezetu waingereza hii unayo zungumzia ni discovery na kugundua ni invention ambayo inahusisha scientific procedures
Mkuu unalazimisha vitu kwa sababu tu uanaangalia kupitia angle moja,simply to discover is to find out ( a)something existing but not known before-kitu kilichokuwepo lakini hakikuwa kikifahamika,(b) a fact ,mfano scientists have discovered that this disease is carried by rats-ugonjwa huu unasababishwa/unaenezwa na panya, (c)the answer to a question- mfano did you ever discover who sent you the flowers?-umegundua nani aliekutumia maua? kwa hiyo discover ni neno mtambuka linaweza kuwa scientific discover or just a mere discover.INVENTION NI UVUMBUZI-to make up,think or produce something for the first time.
Hitimisho
One discovers something that existed before but was not known such as a place or a fact etc,one invents something that did not exist before(mtu hugundua kitu kilichokuwepo tayari ila hakikuwa kikifahamika vizuri kama mahali au ukweli fulani na mtu huvumbua kitu ambacho hakikuwepoo kabla.Kama hukunielewa hakuna namna tena mkuu.
 

Kiukweli HUWAFAHAMU...umeathirika na PR effort zao za kutokea kwenye interviews kujisafisha...vyote ulivyoona ni 100% maigizo ya kujisafisha...

Kwa umri huo bado unaamini kabisa interviews za kujisafisha?Mungu wanguuu
 




Hapo kwenye namba moja unatafuta kiki huna lolote
 
Kiukweli HUWAFAHAMU...umeathirika na PR effort zao za kutokea kwenye interviews kujisafisha...vyote ulivyoona ni 100% maigizo ya kujisafisha...

Kwa umri huo bado unaamini kabisa interviews za kujisafisha?Mungu wanguuu
Interviews za kawaida(zisizo za kujisafisha) ni zipi mkuu ?
 
Hapo kwenye namba moja unatafuta kiki huna lolote
Jamii forums ipo kwa ajili ya kutoa views, sio lazima kila maoni yanayotolewa yakufurahishe,kiki ni tafsiri yako mkuu.
 
Nimependa namna unavyofikiria ingawa si lazima niwe nimekubaliana nawe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…