Nilichogundua kwa sasa

Nilichogundua kwa sasa

Siyo vizuri ila...atatestiwa na wangpi mpaka aje apate mtu atakaeridhika nae?
Yote hayo wameyasababisha wenyewe,maana unamuona binti safi ukifuatilia unakuta katoa mimba 3,analiwa ndongo,sasa kweli wewe utakubali kuoa mtu wa aina hiyo?
 
Habari yako virgo mwenzangu
Za masiku?

Yaan nilichogundua kwa miaka ya leo,ukitaka kuoa au kuolewa ni bora UJITOE MUHANGA TU.No kuchagua chagua chagua au kuchunguza chunguza.Moyo umependa we oa,moyo umependa we olewa.NI KHERI MCHAWI UNAEMJUA.
Nasema ivi kwa sababu ndoa nyingi zinazovunjika nowdayz ni za wale waliochunguzana miaka mitano...uchumba miaka mitano..mpaka wanaoana washaishi miaka 15 then kwenye ndoa wanaishi miez mitatu...sababu eti tumeshindwana tabia.Ha ha haa.

NO ONE IS PERFECT JAMEN.Mtachagua na mapakashume bure..
 
Ndiyo shoro,kuchaguaa kwingi...mbona ndo zinawashinda sasa? We oa mengine mwachie Yesu
Tena mtaelewana sana kwa 7bu wote mtakuwa matured na lengo lenu linakuwa moja .... kumchunguza MTU cyo mpaka miaka hata miezi 6 tu kwa MTU criaz inatosha
 
Tena mtaelewana sana kwa 7bu wote mtakuwa matured na lengo lenu linakuwa moja .... kumchunguza MTU cyo mpaka miaka hata miezi 6 tu kwa MTU criaz inatosha
ladygreen naomba nitoke nje ya topic...
Hivi mwanamke mwenye mkono ulokuwa decorated namna hiyo..kwenye avater.

Anafanyaje usafi...as in kuchamba...kufua...kuosha!?

Hivi si nu kufuga uchafu. Ukipika chakula ww mi sili. Utanlisha mavi.

....
 
Kwani utamu simnakuwa mnaupata wote. .so hapo inakuwa hakuna hasara kwa wote
Seriously!!! Mchagua nazi huangukia korona.umependa we oa.siyo umtafunee weee then baadae eti umemshindwa tabia.Mnhu!
 
Sababu kubwa ni kuishi Miaka 5 ya ufake mwingi..

Tatizo la mahusiano mengi Ni kupretend sana huwezi kuishi na mtu miaka mitano unahisi kbs angalau namjua huyu mtu 80% halafu siku ya siku anakuja kukuonesha tabia mpya kabisa ambayo hata hukuwaza Kama anayo mbaya zaidi ya ajabu Sana...alikuwa anasubiri nini kuonyesha hiyo tabia miaka yote ya upenzi???

Mtu Kama una malengo nae na yeye Ana malengo na wewee stop pretending onyesha madhaifu yako mshirikiane kutatua
 
Sababu kubwa ni kuishi Miaka 5 ya ufake mwingi..
Tatizo la mahusiano mengi Ni kupretend sana huwezi kuishi na mtu miaka mitano unahisi kbs angalau namjua huyu mtu 80% halafu siku ya siku anakuja kukuonesha tabia mpya kabisa ambayo hata hukuwaza Kama anayo mbaya zaidi ya ajabu Sana...alikuwa anasubiri nini kuonyesha hiyo tabia miaka yote ya upenzi???
Mtu Kama una malengo nae na yeye Ana malengo na wewee stop pretending onyesha madhaifu yako mshirikiane kutatua
Na kwa hili wahanga wengi huwa ni wanaume....
Wanawake ndo huwa na makandokando mengi..
Ni vigumu sana kwa mwanaume kuficha vile alivyo in 5 years of courtship.
 
Back
Top Bottom