To yeye
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 19,175
- 34,344
Za masiku?
Yaan nilichogundua kwa miaka ya leo,ukitaka kuoa au kuolewa ni bora UJITOE MUHANGA TU.No kuchagua chagua chagua au kuchunguza chunguza.Moyo umependa we oa,moyo umependa we olewa.NI KHERI MCHAWI UNAEMJUA.
Nasema ivi kwa sababu ndoa nyingi zinazovunjika nowdayz ni za wale waliochunguzana miaka mitano...uchumba miaka mitano..mpaka wanaoana washaishi miaka 15 then kwenye ndoa wanaishi miez mitatu...sababu eti tumeshindwana tabia.Ha ha haa.
NO ONE IS PERFECT JAMEN.Mtachagua na mapakashume bure..
Yaan nilichogundua kwa miaka ya leo,ukitaka kuoa au kuolewa ni bora UJITOE MUHANGA TU.No kuchagua chagua chagua au kuchunguza chunguza.Moyo umependa we oa,moyo umependa we olewa.NI KHERI MCHAWI UNAEMJUA.
Nasema ivi kwa sababu ndoa nyingi zinazovunjika nowdayz ni za wale waliochunguzana miaka mitano...uchumba miaka mitano..mpaka wanaoana washaishi miaka 15 then kwenye ndoa wanaishi miez mitatu...sababu eti tumeshindwana tabia.Ha ha haa.
NO ONE IS PERFECT JAMEN.Mtachagua na mapakashume bure..