Nilibet nikawa masikini

Nimetumia rasimali yangu kwenye kamari mpaka imenifilisi, najaribu kuacha nashindwa sijui nifanyaje?
Umeacha ufanye nini zaidi ya kuendelea kubet?

Unataka kuacha pombe unashindwa unatuliza ufanyaje cont kula mondee
 
Usikae na hela, ukipata bora ukopeshe watu, unaugonjwa wa kutunza hela sasa hakikisha USIKAE NA HELA
 
Yanga ashinde na ukabeti milioni 3 kwenye dabi, baasi mtaji kwisha. Rudi kulima kijijini
 
Tatizo siyo kuacha . Tatizo ni kumeneji mambo ..kamari ni kama biashara ya utafutaji madini....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…