Muebrainia Halisi
Member
- Nov 24, 2018
- 36
- 150
- Thread starter
- #21
Mungu mwema, anatulinda watu ambao siku hizi ni wabishi sana
Dada, kaka, mjomba, mamdogo, baba, mama.....
Huna chimbuko...!
Dualis gari ya kike hio mwanaume endesha murano, xtrail
Hujakutana na VX V8 mkuu? Hawa jamaa wanatembea aise. Unaichapa mashine 190kph halafu bado wanakuchapa kama umesimama sina ham nao. Unakaza pedal mpaka tako lakini ndio kwanza inazidi kupotea
Haukuwa na tofauti na mabasi, tena huenda mabasi mengi yalikuacha.. maana mabasi yanatoka dar saa 12 asubuhi na kufika singida saa 12 jioniSaa 7.45 nilikua Singida, nilitoka saa 12
Zote hizi za kike tuDualis gari ya kike hio mwanaume endesha murano, xtrail
Mimi nimemwelewa kuwa alitoka Dar saa 12 asubuhi akafika Singida saa 7.45 mchana.Haukuwa na tofauti na mabasi, tena huenda mabasi mengi yalikuacha.. maana mabasi yanatoka dar saa 12 asubuhi na kufika singida saa 12 jioni
Kama ni hivyo basi ametisha..Mimi nimemwelewa kuwa alitoka Dar saa 12 asubuhi akafika Singida saa 7.45 mchana.
Mungu anatulindaga bure tuu
RIP in advanceHeshima kwenu wakuu.
Wiki iliyopita niliamua kuifanyia nissan dualis majaribio ya mbio barabarani.( nilikua natafuta ligi kwa udi na uvumba)
Nilitenga hela ya faini 150,000.00 kwa safari ya kutoka Dsm to Singida. Ilipigwa 100,000 nikabaki na 50,000.
Nilianza ligi na Vanguard, crown, subaru. Crown alikua ni mjeshi yeye anapita tuu
Ila hadi tunaingia morogoro crown na subaru tumeziacha nyuma sana.
Kufika Moro, vanguard na mimi na Nissan patrol (DFP)
Vanguard mziki ulimshinda akaa nyumaa nahisi aliogopa trafiki,
Nilifika mbande ilibidi nikachungulie dereva wa nisan patrol ni nani, yule mzee anaendesha gari kama pikipiki anaovertake sehemu hatari balaa
Alikua anakimbia aseee, huyu ndio alinipa challenge kwakua alikua haniachi 500m.
Nissan Dualis ni mnyama sana, hata nikisema nipate gari, narudi kwa dualisi tena.
Hongereni sana trafiki mnafanya kazi ipasavyo.
Haukuwa na tofauti na mabasi, tena huenda mabasi mengi yalikuacha.. maana mabasi yanatoka dar saa 12 asubuhi na kufika singida saa 12 jioni
RIP in advance
Basi, usimjaribu Bwana Mungu wako
aminia 747 bingwa mtetezi wa Nissan xtrailMafundi wabongo ndiyo wakijinga...kawaulize Wajapani......wakishindwa kutengeneza kitu hawataki kukubali kuwa wameshindwa...wanaaza kusingizia kuwa hakifai.....
Ingekuwa ni gari ya kijinga ungeshasikia recall huko kiwandani na leo hii kusingekuwepo na Xtrail Generation ya tatu..
Lazima utakua unamiliki xtrail..sasa sijui ndugu utakua unaenda tengeneza Japan....nadhan katika SUV cheap hii inaongozaMafundi wabongo ndiyo wakijinga...kawaulize Wajapani......wakishindwa kutengeneza kitu hawataki kukubali kuwa wameshindwa...wanaaza kusingizia kuwa hakifai.....
Ingekuwa ni gari ya kijinga ungeshasikia recall huko kiwandani na leo hii kusingekuwepo na Xtrail Generation ya tatu..