The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Hivi unaanzaje kuchukua simu ya mwenzio na kuanza kui-search? mi hainiingii akilini! simu ni yake. na huyo mtu ana watu wanataniana, wanatumiana sms za utani nk. sasa kusearch simu yake si kujitafutia ugonjwa wa moyo? Simu ni private thing bwana, yaani mtu asiwe na uhuru na simu yake kisa kaoa/kaolewa? tupeane nafasi jamani
Unafanya hivi kwa mke wangu damn you kwangu mimi hakuna kitu kama hicho message za utani kwa mke wangu hata mimi hiyo hainiingii akilini pia na it depends message hizo za utani ni za aina gani.