Kajole
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 1,667
- 1,642
Habari?,
Ninahitaji Tsh 1,000,000 ili kuboresha biashara zangu na nimekwama. Hivyo naomba kama kuna mtu anaweza nikopesha hiyo pesa nitairudisha baada ya miezi 2 na riba tutakayokubaliana.
Dhamana ya mkopo ni kiwanja kilichojengwa msingi tayari na kipo IRINGA MJINI.
Asante sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninahitaji Tsh 1,000,000 ili kuboresha biashara zangu na nimekwama. Hivyo naomba kama kuna mtu anaweza nikopesha hiyo pesa nitairudisha baada ya miezi 2 na riba tutakayokubaliana.
Dhamana ya mkopo ni kiwanja kilichojengwa msingi tayari na kipo IRINGA MJINI.
Asante sana
Sent using Jamii Forums mobile app