Ubaya upo.
1. Hakuna Raha kama Raha aipatayo mtu kwa kuambiwa na mpenzi wake umependeza, pole "baby" kwa kujikwaa, "baby" mbona hunyoi ndevu, baby siku hizi nikitembea miguu inauma naomba uninunulie usafiri, n.k
2.Ni furaha kubwa kutambua kuwa kuna mtu nyuma yako anaeteseka kwa ajili yako.
3. Kama ilivyo Ada, ukila chakula unahitaji nguvu uliyoipata uifanyie kazi.