dada, unajua unajiweka katika wakati mbaya sana wakati unajihusisha na WAUME ZA WATU? unatakiwa UPATE SABABU za KWA NINI HAO WOTE WALIACHANA NA WAKE ZAO? ili yasije kukukuta kama yaliyowakuta wenzako hao wa kabla. Naamini hakuna mwanamke hata mmoja anayependa kushare mumewe na mwanamke mwingine, na HATA WEWE usingependa hilo likutokee, na hakuna mwanamke atakayekuwa na urafiki na mwanamke aliyemchukua mume wake...JIANGALIE usije kuwa unadanganywa kuwa kuna divorce kumbe hakuna ukajitafutia dhambi za bure...
Yaani mpaka sasa John anaongoza kwa kura nyingi.Ha ha ha ha, chezeiya Konnie akiingia kwenye fani.
Huyu Peter labda aliachishwa kazi, ndo atuambie.
Nilitaka kumuonesha kuwa bora aendelee na John, Peter hana akili ya kuoa.
dada, unajua unajiweka katika wakati mbaya sana wakati unajihusisha na WAUME ZA WATU? unatakiwa UPATE SABABU za KWA NINI HAO WOTE WALIACHANA NA WAKE ZAO? ili yasije kukukuta kama yaliyowakuta wenzako hao wa kabla. Naamini hakuna mwanamke hata mmoja anayependa kushare mumewe na mwanamke mwingine, na HATA WEWE usingependa hilo likutokee, na hakuna mwanamke atakayekuwa na urafiki na mwanamke aliyemchukua mume wake...JIANGALIE usije kuwa unadanganywa kuwa kuna divorce kumbe hakuna ukajitafutia dhambi za bure...
Ndoa maana yake nini? kama maana yake financia comfort and unconditional love from one side basi mkubalie huyo wa kwanza. Kama maana yake struggling (financialy and emotionaly) together and finding comfort in mutual love basi mchague huyo wa pili.
Don't base your decision on what they have to offer, base it on your own understanding and expectation of a successful life and marriage. Since you are financially independant, money should not be an issue. Halafu kumbuka they are not the only two option, kuna wengine pia hata kama hawajajitokeza. good luck !
Ndoa maana yake nini? kama maana yake financia comfort and unconditional love from one side basi mkubalie huyo wa kwanza. Kama maana yake struggling (financialy and emotionaly) together and finding comfort in mutual love basi mchague huyo wa pili.
Don't base your decision on what they have to offer, base it on your own understanding and expectation of a successful life and marriage. Since you are financially independant, money should not be an issue. Halafu kumbuka they are not the only two option, kuna wengine pia hata kama hawajajitokeza. good luck !
Inakuwaje mtu ambaye humpi nafasi katika nafsi yako akuweke njia panda?(John) Na issue za relationship kwangu binafsi kushauri ni kazi maana inakuwa kama vile kumchagulia mtu partner wa kuishi nae for the rest of his/her life. Kama unampenda Peter na ni mwenye kipato duni endelea nae na huyu John kinachokuweka njia panda ni pesa yake and not true love kitu ambacho huenda kikaathiri maisha yako vile vile. For JUST FOLLOW YOUR HEART only thing I can say.
Yaani mpaka sasa John anaongoza kwa kura nyingi.
Afu tayari ana kura turufu ya kwako na ya kwangu. Imebaki moja tu ya Babu mwenzangu Dark City.
Vote For John... (Nimekumbuka mshiko wangu Superman kanirusha, au adhawaiz fellow tablet klorokwini atakuwa katuuzia kibudu kwenye kiroba.... Do something Kongosho asali ya ODM)
narudi badae kidogo
Nilisema ntarudi sababu nilikuwa nakumbuka hii story hapo chini, nadhani huyu ni Peter.
Si kila mwanamme anaweza ndoa, Peter ulishampa nafasi na akashindwa kuitumia, je unadhani sasa kaenda okota wapi akili ya kuwa mume?
Endelea na John, mapenzi yatajiset huko huko mkiwa ndani, wakati mwingine tunajifunza kupenda.
Asprin huyu Superman mbona analalamikiwa na kila mtu Nyani Ngabu nae anakilio cha mshiko wakeYaani mpaka sasa John anaongoza kwa kura nyingi.
Afu tayari ana kura turufu ya kwako na ya kwangu. Imebaki moja tu ya Babu mwenzangu Dark City.
Vote For John... (Nimekumbuka mshiko wangu Superman kanirusha, au adhawaiz fellow tablet klorokwini atakuwa katuuzia kibudu kwenye kiroba.... Do something Kongosho asali ya ODM)
Ndoa maana yake nini? kama maana yake financia comfort and unconditional love from one side basi mkubalie huyo wa kwanza. Kama maana yake struggling (financialy and emotionaly) together and finding comfort in mutual love basi mchague huyo wa pili.
Don't base your decision on what they have to offer, base it on your own understanding and expectation of a successful life and marriage. Since you are financially independant, money should not be an issue. Halafu kumbuka they are not the only two option, kuna wengine pia hata kama hawajajitokeza. good luck !
Roulette jamani nimeshindwa kuku like maana sikuiona sijui imedisappear wapi. but nimeku like my friend, well said...
Hali zenu wana JF...
Naomba ushauri wenu tafadhali maana niko njia panda.
kuna huyu m-baba, sitamuita kaka maana ni mtu mzima. tulifahamiana miaka kama 7 iliyopita. Alinipenda sana, mpaka sasa naamini ananipenda kupita maelezo. Mimi binafsi hajawahi kuniingia moyoni. anajua simdondokei, lakini anaamini kuna siku nitabadili mawazo. Wakati huo naanza kufahamiana nae alikua na mke. ana bidii kwa kweli ya kuniweka sawa, lakini mimi wapi. kuna wakati anachoka na kukata mawasiliano, lakini vile mimi sina time nae, wala hainikeri. Mwaka unakatika anarudi tena, lakini mambo ni yale yale kwa upande wangu. Ana matatizo yake huyo kaka, sitapenda kuyaeleza ila kwa kifupi we are not compatible, nionavyo mimi we cant be togather.
Miezi kama mitatu iliyopita, karudi tena kwa nguvu mpya, na this time ni divorcee. nimeamua kua mpole fulani, japo still roho inakataa. ana kazi nzuri, ana watoto wake anaishi nao, anataka ndoa, anadai nafsi yake imeelekezwa kwangu, pamoja na kuwa namuudhi siku zote, lakini bado he thinks we can have a good life togather. Huyu nitamuita John.
Kuna mwingine, huyu namuita Peter. Peter yeye, tuliwahi kua na mahusiano miaka kama mitano iliyopita ambayo yalidumu kama miaka miwili na kiasi fulani. Tulipendana sana mpaka tulipewa majina mji huu. tukatofautiana kidogo sana na kitu cha kijinga mno, sababu ya kila mmoja kua na hasira na mwenzie, tuka break-up. niliumia na yeye naamini aliumia sana. Peter hana ajira inayoeleweka zaidi ya mission town niseme japo ana elimu. ni wale watu ambao they think hawawezi kuajiriwa.
From nowhere Peter nae anataka kurudisha majeshi, kwa nguvu zote. kibaya ni kwamba kaja wakati mmoja na John.
Peter nafsi yangu inampenda sana, na yeye naamini ananipenda, tuna match kwenye kila kitu, very compatible, interests na hobby zetu ni moja. maongezi yanalandana, namzidi kidogo umri, lakini kwangu sio issue.
Niko njia panda. John ananipenda sana na anataka ndoa, maisha yake mazuri, nikiolewa nae najua sitabahitisha kuishi, nina uhakika wa maisha bora, pesa yangu najua nitaotoa kwa kusaidia tu, lakini si lazima. Tatizo bado hayuko moyoni mwangu.
Peter, tunapendana sana, naamini hivyo, lakini hana ajira, maisha ni mishe mishe mjini mradi kunakwenda. aliwahi kuoa nae akaachana na mkewe. kwa sasa nae ni single. nikiwa nae ina maana maisha ni ku share au mimi niwajibike zaidi pale mission zinapokataa.
Mimi mwenyewe nina maisha yangu, I cant complain, najiweza, hata nisipopata msaada wa mtu maisha yangu yanakwenda vizuri bila kukuna kichwa.
Wana JF, ushauri na nasaha zenu ni muhimu. Kina dada, kama ni wewe utaenda kwa Peter au John...
Hahahaha... dogo alikuwa anatafuta umaarufu kwa mgongo wa maselebriti wa JF lol
Kumbe tayari ulishakuwa na maamuzi afu unakuja kutuomba ushauri.
My dearest Kongosho twenzetu Chit Chat bana, ushauri wetu kumbe tulikuwa tunamtawaza kitimoto kwa toilet paper.
Afu huyu Roulette ndo yule wa kirusi au wa kimarekani? Wa kirusi sijui kapotelea wapi na shem wangu AshaDii. Nimewamisi mpaka nimemkumbuka Gadafi.
oooh my god Kongosho siamini kama ukiolewa /au kuoa mtu ambae humpendi mapenzi yatajiseti huko mbele:nono:
Mie nakanusha kabisa..
:nono:
Da Asia naomba upige goti chini uombe mungu akuonyeshe ni nani aliyeandaliwa kwa ajili yako...
Kumbe tayari ulishakuwa na maamuzi afu unakuja kutuomba ushauri.
My dearest Kongosho twenzetu Chit Chat bana, ushauri wetu kumbe tulikuwa tunamtawaza kitimoto kwa toilet paper.
Afu huyu Roulette ndo yule wa kirusi au wa kimarekani? Wa kirusi sijui kapotelea wapi na shem wangu AshaDii. Nimewamisi mpaka nimemkumbuka Gadafi.
Mimi bana ndo maana napendaga sana Kongosho bana.FirstLady1, hadi Asia kuja hapa ujue kuna kitu ndani yake kwa John, ila bado anataka kuwa na Peter.
Huwezi wekwa njia panda na mtu ambaye haufeel chochote, penzi kwa John na hakika lipo, japo sijui kwa kiwango gani.
Kwa hiyo analo la kutosha kujiset mbele kwa mbele lol.