Fungwe,kigoma ndio mkoa pekee wenye FUNZA machachari kuliko wengine duniani kote.Sasa kwa nini husahaulike????hahahahahaha (Watalii si wangekuja kushuhudia)
E bwanaaa!!ye muga!!!Kigoma ni mujini,ila darisalama ni kiboko yake.
Aisee.Ukitaka kumjua mwenyeji wa kigoma halisi mpambanishe kesi na mhaya.mhhhhh!!wewewewewewe kesi haiishi.hahahahahahaha