Kwanza hakuna ugomvi hapo. Yaani huyo dada mstaraabu sana, anakupenda na anakuheshimu. Alipanga akupigie simu akuulize, bahati hukupokea akaamua atume messeji. Sijaona kama kuna mahali amekutuhumu kwa nini hujapokea simu. Ila mkioana huyo dada atapata shida, maana itakuwa ugomvi kidogo panga mkononi.