Niko hoi..huyu dada mkuya mh

Niko hoi..huyu dada mkuya mh

Status
Not open for further replies.

SONGOKA

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2012
Posts
1,836
Reaction score
1,845
Wakuu nimekufa nimeoza kwa sada salum mkuya.Hivi kaolewa??nikimuona tu moyo wangu chaaaaaaali

Ebu mnijuze
 
Kweli Kipenda Roho.... Naona kama pacha wa FF. Au unaozea fedha zake na cheo chake?

images

Wakuu nimekufa nimeoza kwa sada salum mkuya.Hivi kaolewa??nikimuona tu moyo wangu chaaaaaaali

Ebu mnijuze
 
Mkuu hiyo picha katoka vibaya tu..huyu mh ananivutia sana..onana nae live utakubali..afu ana sauti mjalabu sana...duh
 
Mh tafuta namba zake umwambie au unajua kwamba yupo humu?
 
Bibi Saada njoo mjukuu wako anakutaka kima....... toba! Nenda Pemba mkuu..ukirudi utajiona ulivyoingia chaka!
 
Muone live mkuu picha ya nini....nataka kujua kama kaolewa or bado.unajua hilo??
 
Hivi wana JF kwa nn hizi mada za mapenzi mnaziruhusu humu, remember this is home of great thinkers, hivi face book, badoo instagram sio ndio mahali pake? Plz tuheshimu jukwaa letu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom