Nikiwa njiani toka Dodoma

Nikiwa njiani toka Dodoma

kisingy

Member
Joined
Nov 21, 2011
Posts
16
Reaction score
3
Wadau ukiwa wilayani chamwino njiani kuelekea dodoma unakutana na maua ya asili meupe yameota pembezoni mwa barabara kwa wingi sana,hivi haya yana matumizi gani? Kama bado hatujagundua hatuwezi kuyatafutia matumizi?
Yawezekana kuwa Mungu kayafanya yaote huko bila kuwa na matumizi?
 
Mi nimependa kichwa cha nyuzi,,, umetoka dodoma ila ingekuwa ni dar ungesema NIMETOKA JIJINI DAR, s(samahani kidogo mana imeingia mada ingine)
 
Ungeweka tu picha basi! Unamaanisha yale yanaitwa Astropomoea spp au commonly called Kongwa weed? Naamini watafiti wa SUA watakuja na matokeo yake muda si mrefu! Kwa sasa yanahesabika kama magugu kwenye nyanda za malisho.
 
Wadau ukiwa wilayani chamwino njiani kuelekea dodoma unakutana na maua ya asili meupe yameota pembezoni mwa barabara kwa wingi sana,hivi haya yana matumizi gani? Kama bado hatujagundua hatuwezi kuyatafutia matumizi?
Yawezekana kuwa Mungu kayafanya yaote huko bila kuwa na matumizi?

IMG_9943.JPG
 
Wadau ukiwa wilayani chamwino njiani kuelekea dodoma unakutana na maua ya asili meupe yameota pembezoni mwa barabara kwa wingi sana,hivi haya yana matumizi gani? Kama bado hatujagundua hatuwezi kuyatafutia matumizi?
Yawezekana kuwa Mungu kayafanya yaote huko bila kuwa na matumizi?
Hebu tueleze humo ndani ya gari ulikuwa umekaa ukiangalia unakotoka au unakokwenda? au ulipiga bapa kabla ya kuanza safari? Kichwa cha habari tofauti na habari.
 
Kuna maua ya njano yapo Monduli barabara ya lami ya kuelekea Babati
 
Back
Top Bottom