Nikipigiwa simu yangu inakata

Nikipigiwa simu yangu inakata

kukumsela

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2018
Posts
725
Reaction score
919
Habari wakuu,

Simu yangu ni google pixel 5 kuanzia Jana mtu akinipigia inakata naomba msaada tafadhali maana nimeshaizima na kuiwasha pamoja na kuirestart bila mafanikio yoyote.

Je hili tatizo linaweza kutokana na simu kudumbukia kwenye maji?

Tafadhali naomba kuwasilisha tafadhali.

Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
 
Google pixel used zina matatizo sana
 
Back
Top Bottom