nikipiga simu hapokei


Mtumie tigopesa na umwambie kuna dili ulikuwa unafanya kwahyo hiyo uliyomtumia ni nauli ila mzigo kamili upo hom........akija unamgegeda na kesi na imeisha
 
Hakufai kabisa huyo, kwa nini achukie na kuacha kupokea simu zako bila kujua umepatwa na nini! pengine ulitekwa na Alishababu! Piga chiniiiiii
 
nimetuma sms tena ya kusingizia ugonjwa lakini hajibu cha kushANGAZA YEYE NIKITUMA SMS DELIVERY HAIJI WAKATI SIMU YAKE IPO ON LAKNI ZA WENGINE NIKITUMA NAPATA RIPOT YA DElivery

Pole amesha kublock!!! Dah kazi ipo!!! Ila akili yake ikoje?? Kama umempigia mtu asipopokea kwa muda na kama unampenda kweli unatakiwa ufanye jitihada za kwenda anapoishi kumtafuta!!! Unaweza kukuta mtu amefia usingizini wewe unalaumu tu. Nikiwa na girlfriend wa hivyo napiga chini.
 

Ina maana unajaribu kusema ujui kwanini simu haipokelewi.
Sasa nini uelewi hapo?
Bila shaka una ugua.
 
wana jukwaa demu wangu tumeyamaliza tatizo lilijulikana kumbe na yeye aliingia kazini asubuhi akadabo ndo maana simu ilikuwa haipokelewi maana huwa wanacha getini na kuzima ilayeye kaweka s silent jana kapewa off tumepumzika nae na nimegeda ymeisha nashukuru kwa michango yenu
 
"sijui JF imetufanya tuwe wazembe
kufikilia yani ishu kama hii mtu
analeta hapa na kabisa hajui
afanyeje..."kweli tumebweteka ubongo
 
hata mimi leo tumipisha kidogo na mpenzi wangu tatizo sikupokea simu yake mimi nilikuwa out simu uki ndani na charge na umeme huu wa mgao akamaindi nikipiga hapokei nikituma sms hajibu nimeamua kukausha
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…