BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,218
- 39,052
Kwani nilazima?
Kati ya kitu ambacho nilishaga wahi kujaribu nakushindwa ni kupiga deki/kuzama chumvini/uvinza.
Nilitapika sana na kukoswa hamu ya kula chakula ndani ya siku tatu
Huwezi pata majibu ya jambo fulani ili hali hujawah kufanya tafiti.
Wapo madada ambao ukimfanyia hvyo uwa anapata raha kama yote,lakin kila kitu lazima kiwe na faida na hasara zake pia.
Dunia ya sasa magonjwa ni mengi sana,mwanamke wa kileo ata ajisafishe vipi,pls usizame chumvini!! Kwani sio lazima sana. Angalia,fanya mambo ya msingi,raha zipo za ina ming tu
Shida ya papuchi ni kale kaharufu ka shombo flani hivi wenyewe wanasema amaizingNa yeye pia usitegemee atabugia iko kichako Kama wewe hutaki kumkulawake
Na yeye pia usitegemee atabugia iko kichako Kama wewe hutaki kumkulawake
kwa hiyo kuoa ni ruksa kuzama huko uvinza
hata mke usijaribu kuingia kule. fanya tendo la ndoa mengine mwachie ibirisMke anaheshimiwa mkuu
Unabweka bweka tu hapa.Hivi Uvinza kukoje?? Kuna nini uko?? Naona daily vijana wanakukimbilia sana. Mimi msimamo wangu ni kwamba nitakapo oa tu, nitaingia uvinza kiroho safi bila kuambiwa.
Ila kwa sasa siwezi hata iweje, bora uniache tu ila sio niingie uvinza kule unakutana na harufu kali la K unatia domo lako maaninaaa zako pumbavu wewe!
Wanaume sijui tunakwama wapi. Tuoe jaman ili tufaidi vizuri haya mambo kwingine tunafata magonjwa tu.
hata mke usijaribu kuingia kule. fanya tendo la ndoa mengine mwachie ibiris
Kwa mke sawa
Unabweka bweka tu hapa.
Sema tukusaidie nini? Kumpiga deki au nini ?